Naamini hakuna vikao kama unavyotaka tuamini. Lakini pia hata kama kungekuwa na vikao, bado nisingetegenea kulisema kwa manufaa ya mahusiano yetu na Kenya, na hata kwa wakenya wenyewe.
Mimi mnanichanganya.
Tamaa ya pesa na madaraka ni simu kubwa kwa nchi.
Bado tu mtu huyohuyo mnamuona kama angeweza kuwa kiongozi mzuri.
Kifupi Hatufai hata chembe.
Mh. Rais JPM, tunakutakia Hery ya Krismas na Mwaka Mpya 2017. Tunakuombea Mungu akupe Uzima wa Rohoni na Mwilini, ili uendelee kulitumikia hili taifa. Tunaomba usikate tamaa na maneno na unafiki wa Watanzania wachache. Wengi wao ni wapiga dili. Tunakupenda sana.
Kwa wapigaji SAWA. Ila kwa Mtanzania mwenye akili timamu, Rais wetu YUKO VIZURI SANA. Mungu akutangulie Rais, usikate tamee. Tuuko nyuma yako tunakuombea
Sitaki kuseme lilikuwa chaguo la Mungu au la. Ila Mungu anabaki kuwa Mungu na maombi yanapaswa kuendelea bila kukoma.
Ayubu alimuomba Mungu lakini bado aliendelea kupata mapigo zaidi. Bado alimuamini Mungu hadi mwisho.
Hivyo usikate tamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.