Search results

  1. P

    Hivi upinzani Ni kupinga kila kitu? Wachina kuwekeza Nchini Ni juhudi za Serikali kuvutia wawekezaji

    kaka Chris Lukosi za Totenham ndugu, Nauliza kwani uwekezeji ni nini????? Mimi nafanya biashara na wewe si tunakubalia then tunalipana? Si watu wawili tu huwa wanasaini hii mikataba? Kwanini mmoja akubali kunyonywa? Najiuliza sipati majibu?ris Lukos
  2. P

    CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

    Mkuu may be Mr is living his dream, wake up and look for your dream. In reality Mr 2 is the biggest role model to all the youth in Tanzania. He manage to archive something from him been nothing. Personal I respect him, and is one the people I admire Go Sugu
  3. P

    Kiti kinaweweseka: Hoja zote binafsi sasa kujadiliwa Bunge lijalo

    Tatizo la watanzania ni hilo, kupigana na adui bila kumtambua adui yao ni nani, Kiukweli Tanzania adui yetu si Makinda, adui wetu yupo juu ya Makinda. Embu tazama kwa jicho la tatu ewe mtanzania
  4. P

    Mbowe akutana kwa Dharura na Mkuu wa Jumuiya ya Ulaya Nchini

    Tunaangamia kwa kukosa maarifa, Kweli Mboye anakwenda kuishtaki serikali umoja wa Ulaya na tunajiita wakombozi kweli?
  5. P

    To my fellow African

    Kipi ni kizungu mbofumbfu? Nami ana standardise? Hayo kwanza
  6. P

    To my fellow African

    I your fellow brother I really wonder? Every beautifully sunrise I wonder why? I don't know why because I don't know why we don't know who we are?Why we don't questions? Why we don't ague? Why we don't research history? Why are we not wise? Why we don't trust in God? I wonder why because I...
  7. P

    Serikali itangaze kusitisha kwa muda mpango wa bomba la gesi toka Mtwara

    Shinyanga tunaandamana kesho, dhahabu kwanza vyama baadaye
  8. P

    Mkapa ajitosa sakata la gesi, apendekeza njia ya mazungumzo kutafuta muafaka!

    Ivi mikoa mingine kama Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Arusha kwanini wasiige hii staili walikuja nayo Mtwara? Bila kusahau kwa marehemu Chacha Wangwe?
  9. P

    Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

    How could you people take the words of the traitor only by saying he does not want to talk about presidential position year 2013? How much his words are accountable? Why did he change his mind suddenly and for what reason? Does he agree there is no democracy in the party? How can he sit with his...
  10. P

    John Mnyika anastahili kuwa mwanasiasa bora 2012

    Ben Saanane ndiye mwanasiaasa bora wa mwaka......
  11. P

    Ben Saanane awatoa Mafichoni Zitto na wenzake

    Ben Saanane awe mkuu wa kikosi cha Usalama Chadema. Nafasi inayoshikiliwa na Wilfred Lwakatare.
  12. P

    Sumu ya Saanene - swali kwa MASALIA a.k.a PM-7

    kwanini walikubali kumpa Ben Saanane jina la Cobra? Au kwa nini alijipa jina hilo? kuhusu Zitto na hao masalia hivi kweli mtu ajaribu kuniuwa then aendelee kuwa rafiki? Yaani tuendelee kukutana na kuongea? Ingawa hakukutana na Zitto ila alikutana na best friends wa Zitto hivi kweli Zitto...
  13. P

    Rais Kikwete kweli ni Jembe

    Tatizo kubwa la watanzania ni moja, mnaona utawala mbuvu wa Kikwete unawaathiri CDM huwa haturikiri kuhusu sisi kama wananchi tunaathirika vipi bali tunafikiri kama wapinzani wanaathirika vipi, Kikwete ni rais wa Tz na siyo CDM. Na mafanikio yeyote ni kwaajili yetu waTZ na siyo CDM. Tunaweza...
  14. P

    UNIVERSITY OF KILIMANJARO in Kenya

    Ww ndugu mbona unatumia jina langu? Ngiwango Ndakilawe Mwomangi, ewe nyuwi?
  15. P

    Urais 2015: Tundu Lissu atafaa zaidi CHADEMA

    Kosa la Kikwete hili, mpaka kila mtu anajiona anaweza kuwa rais wa nchi hii
  16. P

    Tuagize rais na mawaziri kutoka nje ya nchi?

    Tunaagiaza raia mingine
  17. P

    Zitto: Tunaomba radhi kwa mapungufu yaliojitokeza

    hii ilikuwa ni janja ya CDM kujifanya wamesahau na kukubali kurekebisha makosa ili iwe the same kwa CCM. ila sijui kama watarekebisha kama Cdm
  18. P

    Lusinde: Mimi mbunge nina laini moja, 'Mama Ntilie' ana laini nne za nini?

    Tatizo ni maneno aliyotumia kujitofautisha na mama ntilie.......hapo ni kuweka tabaka la mimi mbunge/mwenyenacho nina, kwanini wewe uwe na? read btn the line brother
  19. P

    Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012

    kazi ya chama tawala kwa sasa ni kutekeleza ahadi na si kufanya mikutano, sasa wanajitofautisha vipi na wapinzani?
Back
Top Bottom