Mkuu unauhakika dawa zote zilikuwa kwenye mifuko? Pili umesikia ni dawa aina 2 na sio 1. Hivyo kuleta zaidi ya kilo 800 hivyo nashawishika kuamini hizo tani 100 na kitu au miambili ni vifungashio na takataka zingine ambazo sio madawa.
Pia, chanzo chako cha taarifa kakihakiki. Taarifa ya awali...
Wakati dawa zinakamatwa zinapimwa pamoja na vifungashio vyake. Vile vikopo pia vina uzito. Hivyo kiuhalisia kipimo cha awali kilizidi tani moja kwa sababu kimejumuisha dawa na vifungashio.
Baada ya ukamataji kutokea, dawa zote hupelekwa kwa mkemia mkuu na hapo ndipo kg halisi hupatikana kwani...
Wakati dawa zinakamatwa zinapimwa pamoja na vifungashio vyake. Vile vikopo pia vina uzito. Hivyo kiuhalisia kipimo cha awali kilizidi tani moja kwa sababu kimejumuisha dawa na vifungashio.
Baada ya ukamataji kutokea, dawa zote hupelekwa kwa mkemia mkuu na hapo ndipo kg halisi hupatikana kwani...
Raia wa Nigeria, David Chukwu 38 Mkazi wa Masaki na wenzake wawili raia wa Tanzania waliokamatwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin kilogramu 268.50, wamefikishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya na kutakatisha zaidi ya sh. Milioni...
Maadhimisho haya kitaifa yatafanyika jijini Tanga siku ya ya Jumatano tarehe 26 mwezi Juni mwaka 2019 katika viwanja vya Tangamano.
Kauli mbiu ya mwaka huu inasema "Waathirika wa Dawa za Kulevya wana Haki ya kupata Huduma za Afya".
Kauli mbiu hii inatukumbusha kuwa mapambano na tatizo la dawa...
Anahitajika kijana wa kiume kwa ajili ya kisimamia na kuuza juice ya miwa.
Sifa za Mwombaji
1. Awe mkazi wa Dar es salaam.
2. Awe anajua kutumia mashine ya kusaga juice ya miwa.
3. Umri miaka 18 na kuendelea.
4. Awe anajua hesabu ya pesa vizuri
5. Awe mchangamfu na mwenye kauli nzuri
6. Awe...
Sio kwaya tu. Huko makanisani uzinzi umejaa. Vijana wamejawa na tamaa wanazini mchana kweupee. Nataman dini ya zamani ingerejea, kanisan kulijaa utukufu. Sasa hivi ni kachumbari. Ningetoa mfano hai ila ngoja niishie hapa.
Mwanzo 2:24 Kwa hiyo mwamamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.