Habari za jumapili wana JamiiForums
Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana...
Jabari wanajamii forums
Kuna wimbo wa zamani sana wa bongo fleva unasema maneno haya
SAUTI YAKO INANIWEKA ROJO JUU
MAPENZI YAKO YANANIWEKA ROJO JUU
SIONI MWINGINE KATIKATI YAKO
SIONI MWENGINE ZAIDI YAKOO
NI WIMBO WA JAMAA MMOJA HIVI KAIMBA NA MDADA YAANI NAITAFUTA CSANQ HII NYIMBO MSAADA WENU...
Habari wanajamii Kilimo,
Binafsi nimepitia hii nyaraka, kwa wale wapenda kilimo kama mimi ukiipitia hii document itakufungua macho sana kuhusu zao gani lipewe kipaumbele kutokana na eneo ulilopo hivyo hutalima kwa wasiwasi tena
Hebu chunguza wilaya yako na nini kinafaa kilimwe
Source: Wizara...
Habari wanajamii forums
Nimekuwa muoga kuingia kwenye mahusiano full maana navyosimuliwa huko ni kwa moto maana sijawahi kupata story za furaha,washikaji wananisimulia habari za kutisha na zenye kukatisha tamaa.Hivi huko nini kibaya maana kila kila niyayemuuliza anasema kuna moto...
Habari wanajamii forums,
Kwa wale wataalamu wa ngozi nilikuwa naomba kufahamishwa ni kitu gani ninaweza kutumia ili kulainisha ngozi ya mikono?
Maana ni sehemu pekee imekuwa na ngozi kavu na nimejaribu katumia mafuta ya aina mbalimbali ngozi imeendelea kuwa ngumu.
Habari wana JamiiForums,
Leo asubuhi niliripoti kukatwa na GOOGLE PLAY kimakosa kutokana na app moja ambayo ilikuwa ina run kwenye android yangu ambayo siku ya jana ilifanya malipo automatically na mimi kupata notification za kukatwa pesa.
Nashukuru nimefanya mawasiliano kampuni husika na...
Habari wana JamiiForums,
Hivi majuzi account yangu ya Gmail ilifanya malipo kwenye airtel money kupitia google Play kwa app ambauo niliidownload playstore ambayo sikuwa awareness na kuchukua kiasi kikubwa cha fedha.
Niliwasiliana na networ provider yangu nikaambiwa niwasiliane na google play...
Habari wana jamii forums
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta mitindo hii ya nguo ambayo nimeona wanawake wa Ethiopia wamekuwa wakivaa sana,nao.ba kujulishwa maharishi yalipo haya machine ya nguo hizi
Habari wanajamii forums,
Nilikuwa nahitaji site ambayo naweaa kupatq album za Mr II A.K.A Sugu maana YouTube sipati nyimbo zote. Kwa yeyote mwenye album zake naomba anisaidie.
Asante.
Habari zenu wanajamii Forums.Poleni na majukumu ya kazi
Kwa miaka ya hivi karibuni,MAHUSIANO yamekuwa kama biashara.Mahusiano yamekuwa kama miradi ya kumnufaisha mtu fulani ili aweze kukidhi mahitaji yake.
UPENDO umekuwa ukipimwa kwa vitu sio utu tena.Yaani unaingia kwenye mahusiano na mtu...
Habari wana JamiiForums
Nilikuwa naomba kufahamishwa list ya milima ya mikunjo(FOLDS) na milima ya tofali(BLOCK) kwa Tanzania
Nitashukuru kwa ushirikiano wenu
Habari wanajamii forums hope mko poa sana.
Kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuhusu mapenzi yana ladha gani? Kiujumla nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja kuhusu mapenzi. MAPENZI NI MATAMU, MAPENZI NI MACHUNGU AU MAPENZI HAYANA LADHA. Wataalamu wa mambo ya mahusiano mtusaidie kuhusu hili ili...
Habari wanajamii forums
Nilikuwa ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi naweza yapata majarifa ya Bongo na Sani yale ya zamani maana nimeyatafuta pasipo mafanikio
Kwa mwenye connection wap naweza kuyapata hayo majarida wakuu
Habari wana JF
Hebu tupeane uzoefu wa mambo ya fashion kuhusu vifungo vya shati kukaa mkono wa kushoto au wa kula.
Kuna ukweli wowote kwamba vifungo vikikaa mkono wa kilia ni shati la kiume na vikikaa kushoto no shati la kike
Msaada kwenye hili
Habari wana JamiiForums
Nilikuwa naomba msaada jinsi ya kuifungua mpya account yangu ya RECRUTMENT PORTAL kwa kutumia namba ya NIDA ambayo ilishawahi kuifungua kwenye account nyingine ambayo nimesahau password lakini kila nikifungua account mpya ya nida ili nifanye application inakataa na...
Habari wanajamii forums,
Nilikuwa naulizia bei ya kiwanja 20x20 kwa maeneo ya Arusha hasa moshono,maana mdau kaniambia sio chini ya milioni 10,kwa wadau WAZOEFU kiwanja ukubwa huo naweza kukipata kwa bei gani ambayo ni halali kabisa.
Ahsanteni.
Habari za jumapili wana Jamiiforums,
Nina simu ya TECNO CAMON nime RESET lakini kila nikiweka google account ili iweze ku finalize inakataa inaandika THIS DEVICE WAS RESET.TO CONTINUE,SIGN IN WITH A GOOGLE ACCOUNT THAT WAS PREVIOUSLY SYNCED ON THIS DEVICE. Na previously account kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.