Iwe heri sana kwako Brother Analyse . Asante sana
Leo ndio nimejua siri ya profile picture yako.
May 2023 be that year you've been longing for, the year to remember.
Kwenye maisha kuna mambo mengi ambayo kwayo huwa tunajikuta tunakwama kujinasua pengine kwa kupuuzia ishara na viashiria tulivyoona mwanzoni na njiani au pengine kwa kujipuuza mwenyewe au pengine kwa kuupuzia wengine.
Pole kwa dilema uliopo, lazima uzingatie ukweli kwamba kama mtu yupo tayari...
Nakusalimu sana mkuu, na team nzima ya marafiki
Salamu zangu za pili ziwafikie Karucee, Ablessed ,snowhite ,@FP, Heaven on Earth Heaven Sent BAK popote walipo
Salamu za tatu ziwafikie kila atayesoma hapa.
Nakushukuru sana Mwana -SALAMU TAMTAM :)
Tized,
Kwa hisani ya awamu ya Tano.
"Nikiwa std 5 ghafla nilijikuta naichukia mienendo na misingi ya kidini"
Majibu yote yako hapo, Itafutie ufumbuzi hio sentensi.
Vyote ni sababu ya kusudi lillo ndani yako na "ushuhuda" wa mzee wako.
Chukua urefu wako (Sentimita) toa 100, Kinachobaki ndio uzito wako wa juu ukiwa normal.
Mfano: Mtu ana urefu wa CM 184-100=84CM, Hivyo huyu mtu 84KG ndio uzito wake wa juu akiwa kawaida.
Akizidi 84 anaanza kuwa Overweight, akienda mbele huko anakua na obese n.k. Hii ndio njia rahisi.
Njia...
Upendo haugawanyiki.
kwenye michepuko, watu wanaendeshwa na tamaa ya mwili.
Kumbuka, Kila mtu ana tamaa, tofauti iko hapa;
Unachokipalilia zaidi ndio kinaota na kustawi.
Ukipalilia tamaa, hadi unarudi kaburini hutakaa ushibe
Ukipalilia kujuzuia 'Self control' utaweza kujitawala.
Mtu mwerevu...
Hata mimi inanchanganya mkuu
Ila kubomoa nyumba ndio rahisi mkuu.
Nyumba unaweza kuijenga hata mwezi mmoja ukahamia, ila mti unachukua miaka.
Inhiinhii nhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ukitaka kujua urefu wa mizizi kwenda chini angalia urefu wa mti ukoje.
Ukiona mti mfupi na umesambaa sana ujue na mizizi yake imesambaa haijaenda sana chini.
Mti mrefu sana, ujue na mzizi wake mkuu umerefuka sana kwenda chini.
Hivyo ukitaka kuotesha mti pembeni ya nyumba na hutaki miziz ipasue...
Upungufu au uhaba wa kitu ndio unaochangia thamani ya hiko kitu.
Hela zikiwa nyingi bila mapenzi, mapenzi yatakuwa na thamani kuliko hela.
Mapenzi tele bila kuthaminiwa, kuthaminiwa kunakuwa na thamani kuliko mapenzi
you name it.
kimoja kikipungua kinapunguza thamani ya kilichopo.
na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.