Obvious mambo unayopambana nayo ni magumu kweli kweli. Mtegemee Mwenyezi Mungu kuliko awaye yoyote ili akupe hekima ya kuongoza watu wake.Msikilize maana sauti yake inakuongoza kwenye mema, hapa duniani na hata peponi.
Uongozi ni jambo gumu sana...narudia maneno kutoka kitabu cha Mwalimu Nyerere...
Geita, pengine kwa sasa ndio mkoa unaoongoza kwa matukio mabaya yanayohusishwa na ushirikina.
Jamii inayoendekeza ushirikina wa aina ile ya kutoa makafara na kuuana, huwa hawana kiasi.
Naangalia kama ni moja ya matukio hayo. Muda utaongea.
Bongo tunadanganyana lazima kila mtu awe na degree..na sasa mpaka PhD za kuungaunga. Wakati hata kusomea VETA kitu unachokipenda, unaweza kutoboa.
Elimu yetu inatuandaa tukaajiriwe na tunaamini katika ajira tutapiga deals
Bill Gates anastahili sifa...kumbuka, sio kila kwenye miti kuna wajenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.