Naomba kukuuliza mtoa mada kama ulipitisha barua yako ya kuomba kazi nyingine kwa mwaajili wako ama ulituma maombi bila barua yako kupitishwa na mwaajili? Maana huwa naona katika matangazo ya kazi ya utumishi lazima barua ipite kwa mwaajili kwanza. Ufafanuzi tafadhali kwa anaejua pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.