Asali ya Tabora inasemekana kuwa inarinwa karibu na mashamba ya tumbaku na kuna uwezekano zina chembechembe za viuatilifu pamoja na sumu nyingine za tumbaku. Asali ya Kigoma ni nzuri, ni PM kama utahitaji kuipata.
Wanabeba vyakula vilivyokaushwa kwenye mifuko maalum, makopo au tyubu kama za dawa ya meno. Vilevile wana vifaa maalum kwa ajiki ya kuchemsha na kupoza maji maana baadhi ya vyakula huhitaji kuongezewa maji ili kuvirejesha kwenye hali yake kabla ya kuliwa. Unaweza kusoma link hii kwa maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.