Thamani ya midifilidi Paul Pogba ni mara mbili ya garasa Gareth Bale ambali linapigiwa kelele na wasiojua soka.Nakubaliana na Raiola
Masterpiece Pogba 'worth two Bales'ESPN staff
August 28, 2013« AVB all but confirms Bale sale | Mourinho helps secure Willian deal »
Paul Pogba has made a big...
Today basketball fans tumepoteza bonge la mchezaji Tracy McGrady ambae ameamua kutundika daruga.This is is sad me and my family we wish Mr Tracy a very happy retirement.
He's one of the greatest NBA player who scored 13 pts. in 35 secs
Supastaa wa mchezo wa kifanyana matuzi kwenye tv Feza Kessy anasema kasahau kiswahili kwa kukaa miezi mitatu kwenye danguro la BBA.
Upuuzi mtupu ni sawa na baharia mmoja alirudi baada ya kukaa siku nyingi baharini akaja na muondoko wa kunesa nesa baba yake anamuuliza kwanini anatembea kwa...
Mnakaa online kupiga makelele lakini hatuoni mnachochangia kwenye maendeleo ya taifa.
Maendeleo sio kuweka mapicha facebook na michuzo blog mko kwenye ma bash na matumbo makubwa.Maendeleo yako wapi taifani
Hakika nawaambieni yule mchawi wa soka karudi mtakatifu Gaucho anapiga vyanzu vya kutosha anapiga vyobo tani 800 anadrible umbali wa dar mwanza nawambieni 2014 mchezaji bora wa mwaka brazili 2013 Ronaldo de asis hakosi kwenye kikosi cha Scolari
Bado sijaona mrishaji mzuri wa vijana kama Jo pale...
Ni mambo ya ajabu afisa usalama wa taifa anajiingiza kwenye ugomvi wa madada yalioshindikana ya mjini kama Mange na Sinta.Huyu afisa kaabisha kazi ambayo ni nyeti.
Afisa gani wa usalama anajipambanua kiasi hiki,unatumia nguvu kumjua yeye ni nani? ni aibu sana kwa sekta nyeti kuwa na mtu kama hii.
Nauliza kwanini waandishi wa tanzania nao hawawai wabunifu na kuanza kutupatia makala za kiintelijensia ambazo zingejibu maswali mengi wanasiasa wanaowalisha wananchi.....
Moha wa jicho pevu ni mfano wa kuigwa kaja na majibu ya maswali mengi kwa wakenya......mohamedi ally wa tanzania yuko...
Aisee happy 4th july kwenu wote.......it a wonderful day kabisa......nasheherekea hapa naumwa na mbu najiandaa kupamba na foleni kesho....nyie mnafanya nini?
Aiseee kingereza za kikwete aisee........enewei hakufaa kuongea kiingereza ambacho hakijui hakukuwa na haja ya kulazimisha kuongea lugha asioiweza.......maana jana kajitahidi kajitahidi saana ila wapi.....unaweza kusema maswali alikuwa anayakwepa lakini sio hivyo..ila hakuwa anajua ajibuje.......
oh maii toto lina guu aisee....sio mnatuwekea michilizi ya wema sepetu hapa.....aisee angalieni toto hilo....very energetic,classic mtoto msaaafi aisee kansa ya koo hapo inakusamehe....mambo ya Stive dii
Mmoja wa washabiki wa muziki wa kizazi kipya ambaye alivaa vazi lililoacha ------ nje....
Shabiki huyo alipanda jukwaani kumkumbatia msanii maarufu nchini , Ommy Dimpoz wakati alipokuwa akitoa burudani katika mashindano ya Redds Miss Tabora.
Tukio hilo la aibu lilitokea mbele ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.