Kinachoendelea bungeni kulikuwa na haja gani kujadili ripoti ya PAC ! Ilhali uchinguzi bado unatakiwa tena ufanywe ili kuthibitisha yaliyomo kwenye ripoti zote mbili.
Kwanini Serikali inatumia nguvu kubwa namna hii kuwanasua wahalifu?
Taarifa zote zimeonyesha madudu yamefanyika,hata hao wanaoitete serikali wansjichanganya na kukosa hoja za msingi juu ya utetezi wao.
TRA chombo cha uma kimeyaona mdudu na kuwajibika/kuwajibishana.
CAG kaonyesha yake. PCCB...
Mliopo mjengoni(Bungeni) Dr. Mwakyembe alijisifia sana kwamba ndege mpya inaruka kila kona sasa hivi na hakuna shida yeyote, wanajipanga kwenda mbali zaidi.
naomba mumuulize kulikoni tupo hapa siku ya pili leo wameshindwa tupeleka Mbeya, kisa NDEGE mbovu na hawajui lini itatengemaa. tunaishia...
Siku moja umerudi na mning'ining'io(hanover) wako ongeza na usingizi mkali wa kukesha yapata kama saa tisa unusu ama kumi ndo umeingia kulala.
Yapata majira ya saa moja asubuhi mtu anakugongea mlango kwa nguvu(fujo/kero).
Unaamka ili kwenda fungua upate kujua nani huyo, unajikwaa kidole cha...
Parties fail to beat midnight deadline
For the first time in 17 years, the U.S. closes non-essential services, furloughing around 800,000 federal workers in a move that will cost the country billions.
Mzee mmoja wa Kihaya alivamiwa nyumbani kwake Bukoba usiku wa manane, badala ya kupiga 911 wamsaidie yeye akapiga simu Marekani eti anauliza:
Halloo Mutalemwa! Ni nani anavunja geti languu hapo njee!!:shocked::shocked:
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station. "Naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7,ATM Card na karatasi yenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu".
Mtangazaji akasema: Akhasante, kwahiyo ungependa kumrudishia mwenyewe...
Mama 1 kaenda kwenye kikao cha harusi. Kwa kuwa kulikua na kinywaji cha kutosha kachelewa kurudi home mpaka 6.30 usiku, kauta mume keshalala kabisa.
Mama: Hodi?
Mume akamwambia: Kalale huko huko!
Mke akajibu: Sikuja kulala,nimekuja chukua CONDOMS ziko kwenye pochi juu ya kabati!
Mume: Kazima...
Mzee mmoja aliagizwa SIDIRIA na mke wake,alipofika dukani akawa amesahau size gani!
Mama muuzaji akamwambia; Njoo unishike maziwa, utakumbuka ukubwa wa SIDIRIA uliyoagizwa.
Mzee aliposikia hivyo akasema dah!! Samahani kumbe niliagizwa na CHUPI!!!
Mama: Nyoo mshenzi mkubwa wewe!!:heh::heh::heh::heh:
Mzee mmoja aliagizwa SIDIRIA na mke wake,alipofika dukani akawa amesahau size gani!
Mama muuzaji akamwambia; Njoo unishike maziwa, utakumbuka ukubwa wa SIDIRIA uliyoagizwa.
Mzee aliposikia hivyo akasema dah!! Samahani kumbe niliagizwa na CHUPI!!!
Mama: Nyoo mshenzi mkubwa wewe!!:heh::heh::heh::heh:
Mzee mmoja mwenye UMRI kama 50 hivi, anamchapa mwanaye bakora kisa kafeli mtihani.."Mtoto hasara kabisa, mbona Juma kafaulu? Nyie si mna UMRI karibu sawa kabisa???"
Mtoto: Baba hivi wewe na Bhakhresa kwani UMRI wenu si unakaribiana kabisa??
:shock::shock::shock:
Kuna jamaa alipewa hela zake kama urithi toka kwa wazazi wake.
Bingwa kwa akili ya haraka kwanza akazisweka kwenye kiroba na kutokomea nazo porini kwenda zificha, ili aape muda wa kupanga nioni afanyie.
Alipofika porini alichagua mti mmoja na kuchima shimo chini yake kisha akafukia kiroba chake...
Jamaa bonge la mtu kaingia kwa dokta.
Jamaa: Dr. nina tatizo huku sirini.
Dr: Hebu vua nguo tuone.
Jamaa: Poa navua ila plz usicheke, narudia usicheke.
Dr: Ucjali hii ndo kazi yangu siwezi kucheka mgonjwa.
Jamaa akavua suruali, Dr. kuona tu, maadili yakamshinda akaanza kucheka mbaya kama dakika...
HERE IS HOW A STUDENT OBTAINED
0%
IN AN EXAM -
Personally, I would have given him
100%
how about you?
Q1. In which battle did Napoleon
die?
* his last battle
Q2. Where was the Declaration of
Independence signed?
* at the bottom of the page
Q3. River Nile flows in which
state?
*...
Jamaa mmoja laiamua kwenda kumtupa paka wake mbali na home, aliporudi bade home alimkuta paka katia timu kitambo tu, jamaa akakasirika sana.
Siku ya pili aliamua kwenda umbali kama 50kms hivi akapiga chochoro za kutosha kisha akamtupa,akaanza safari ya kurudi home. baada ya muda akampigia mkewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.