Search results

  1. Kisoda2

    Kwanini TUCTA wako kimya kuhusu Mafao na fao la kujitoa?

    Kazi ya TUCTA ni kuimba mapambio tu!!
  2. Kisoda2

    Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu vs Ramadhani Ighondu kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge jimbo la Singida Kaskazini

    Kuna connection yeyote na kurudi kwa TL, naye Frenki kuja endeleza kazi nyumbani? Swali tu
  3. Kisoda2

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    Unapatikana wapi mkuu nikuibukie. Huwezi pitwa na bajaji halafu ukasema nami gari yangu inakimbia!!
  4. Kisoda2

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    Naombeni kujua shida nini, gari kama hiyo inapoteza nguvu. ukiwa kwenye mwendo ghafla unakutana na hali ya gari kukosa nguvu mfano wa kuzibwa pumzi au wewe unakanyaga mafuta na mwingine anakanyaga break. naomba kujua inasababishwa na nini na utatuzi wake ni nini? Gari ni Nissan HardBody Engine...
  5. Kisoda2

    Msaada wa Land Rover Discovery 2 TD5

    Je, engine za TDI zenye uhakika zinapatikana maeneo gani hapa DAR, maana wajanja wamekuwa wengi.
  6. Kisoda2

    Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

    mwana wa Tanzania, Kuna anayeteseka?
  7. Kisoda2

    Mbunge wa CCM Zanzibar kupeleka hoja ya kuzuia wanaohamia kwenye vyama vya siasa kutogombea uongozi hadi watimize miaka miwili

    Hivi Update ya hii kitu mwenye nayo atujue imefikia wapi. Watu tugawane Visiwa!!
  8. Kisoda2

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Mkuu hili bandiko limekaa vyema. Kujitambua ni jambo jema sana katika maisha haya tunayoishi. Niongezee kidogo. MIT. 1:7 SUV Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu. SUV: Swahili Union Version kwa lugha ile ya Bibi inasema hivi. Proverbs 1:7 King James...
  9. Kisoda2

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Sema Qurana ni maneno ya Allah! Ila yanahalalisha kumpiga miti binti ulyezaa nje ya ndoa(Kula kuku na mayai yake) na pia Huko Jennah chochote unachokitaka unakipata kufumba na kufumbua. Hivyo huko hakuna kikwazo hata huyo mamako unaweza mtemezea moto ruksa!!
  10. Kisoda2

    Newala, Mtwara: Tani 68 za Korosho zarudishwa kwa Wakulima zikidaiwa hazina ubora

    namsubiria hapa Nanjilinji na jiwe langu mkononi, labda asipite njia hii!
  11. Kisoda2

    Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

    Hata Shetani hujigeuza malaika wa Nuru apate kuwahadaa wanadamu! Vema kama walitambua hilo kwa 100%. Kuhusu Mungu anawaonaje, anafurahia na je, anawa treat namna gani machoni pake? Huu ni mjadala mwingine. Ila kwa kifupi tu. Wote ni viumbe wake na kwake mtarudi na kupimiwa kwa kiwango sawa na...
  12. Kisoda2

    Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

    Unaposema tusijadili WATU, kwani hivyo vitabu wanatumia MBUZI KUABUDU? Mbona unakuwa kama siyo Muislam? Swali langu kuhusu imani yako ndio linanipa uwanja mpana wa kukupa jibu kulingana na kile unachoamini. Kinyume na hapo huwezi kubali jibu langu sawa na ilivyo sasa! Maana tayari wewe unajibu...
  13. Kisoda2

    Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

    Hakuna kejeli hapo. Nimekuuliza swali la msingi sana. ili nikikujibu nikujibu kwa kile unachoamini ili unielewe. Jibu lako limekuja la hovyo. Hiyo ndiyo size ya jibu lako PERIOD!.
Back
Top Bottom