Wakuu nisaidie nina pikipiki ya san lg nilinunua kwa mtu(used) kila nikiwasha inawaka ila kila ninapoingiza gia namba moja au mbili inazima msaada nini tatizo
Hivi mbona wanawake siwaelewi?
Kuna dada mmoja tunakaa mtaa mmoja, akiwa anaongea na wanaume wengine anapenda sana maswala ya mapenzi yaani anachekelea sana mara ashikweshikwe lakini akikutana na mimi anajifanya decent.
Ukigusia maswala ya mapenzi anachukia sana na kujifanya mlokole na...
Habarini wakuu, nahitaji msaada wa kisaikolojia naomba yeyote aliyopo korogwe au anayemfahamu mwanasaikolojia anipe contact zake, nina tatizo la stress siku ya tano sasa silali vizuri nipo kwenye dimbwi la mawazo, msaada wakuu
Habari wakuu, katika mizunguko yangu ya siku zote mara nyingi nakutaka na warembo wengi sana, ila mara nyingi huwa wanatembea wakiwa wawili hivi ni kwanini nyie viumbe mko hivyo, kwanini mnapenda kuongozana kama kumbikumbi
Huwa najiuliza ni kwamba wanaogopa mtongozo au nini?
Wakuu nyie mnaonaje?
Habari wakuu, ni matumaini yangu wote mko salama humu ndani, awali ya yote ningependa kuwashukuru wote kwa michango yenu mliyonipatia pindi ninapopatwa na majanga, mmekuwa mchango mkubwa sana kwa kunijenga kimawazo na kifkira nashukuruni sana sana wadau wangu mliyokuwa mkinipa mawazo, ushauri...
Habarini wakuu,
Kuna dada mmoja mzuri sana shombeshombe tunakaa nae mtaa mmoja. Ameamia hivi karibuni, anaishi mwenyewe. Nimetokea sana kuvutiwa nae, angalau niwe karibu nae, tuwe tunabadilisha mawazo, nimtoe hata outing chache.
Kila nikijaribu kumzoea nashindwa zaidi ya kumsalimia basi...
Wakuu habari zenu, wakuu sijui ni
Mkosi au namna gani yaani asilimia kubwa ya wanawake ninaokutana nao ni malaya, na wanawake wa mizinga sana, hivi inawezekana nini mimi peke yangu mwenye hii kazia au na wengine mnakutana nayo
habari, wakuu katika uchunguzi wangu nimepitia mahusiano mengi lakini kuna kitu nimegundua kutoka kwa wanawake, wengi niliowapata kwa njia ya pesa sikudumu nao muda mrefu, pesa zikishaisha tu na mapenzi nayo yanapungua, nawashauri wenzangu wanaohonga sana pesa kwa wanawake wawape kwa akiri...
Habari zenu wakuu, kuna jamaa yangu mmoja tuko jirani nae ametokea kumpenda dada mmoja muuza duka, lakini anashindwa kufunguka kwake kila akimuona hata wakikutana njiani hakuna chochote anachofanya zaidi ya kumsalimia ,anashindwa hata kumsimamisha njiani kuongea nae ya moyoni, nimemshauri...
Wakuu habari zenu, kuna mpenzi wangu tuna muda wa miaka miwili sasa ninaishi nae leo wakati tukiwa faragha tukitaka kufanya majambozi katika utani utani kitandani tukiwa kunachekia simu zetu kanionyesha picha za uchi za mdada wa Facebook, nimeshindwa kumuelewa anamaanisha nini wakuu, nimeshindwa...
Habari zenu wakuu, kuna mdada mmoja nimetokea kumkubali sana shida ni moja kila nikimuona anakuwa na kampani na mtu mwingine
Huwa atembei peke yake akienda dukani anaenda na dada ake, akienda sokoni au mjini anakuwa na marafiki zake
Nifanyanini nipate hata namba yake marafiki zake ningekuwa...
Habar zenu wakuu, nimaimani wote mko na afya njema, wakuu kila mwanamke ninayekutananae mitaani na kumtongoza ni barmade hii nagundua baada ya siku tatu au nne baada ya kunikubalia, kuna wengine ni wahudumu wa gesti na wengine barmade , wakuu nakwama wapi mimi nimekata tamaa ya kutokea wanawake...
Habarini wakuu, kuna dada mmoja ni jirani yangu nimetokea kumpenda sana nimejaribu kuzungumza nae kuhusu hisia zangu kwake imeshindikana nitumie mbinu gan nimhonge ili anikubalie naombeni ushauri tafadhali
Habarini wakuu,
Leo kuna sehemu nilikwenda kumcheki jamaa yangu mtaa fulani amehamia hivi karibuni ila sehemu anayokaa sipajui, katika pitapita zangu nikakutana na binti mmoja nikamuita anielekeze nimepotea njia, ile kumuita tu akasonya akaondoka, akapita wa pili nikamuita ananiangalia kwa...
Habarini wakuu,
Huyu mwanamke ninayeishi nae ni muongo wa kupindukia, nimejaribu kumfatilia sana nyendo zake nimegundua mambo mengi amekuwa akinidanganya sana hasa kwenye suala la pesa, amekuwa nimekuwa ni mtu wa kutunga mambo sana ili anidanganye.
Nifanyeje wakuu niweze kuishi na huyu mwanamke
Habari zenu wakuu, natumaini Pasaka kwenu imekuwa vyema, kuna mdada mmoja tulikuwa tukiishi nae mtaa mmoja alikuwa mzuri shombe shombe nilitokea kumpenda sana lakini alikuwa ananiheshimu sana na binti mwenye maadili sana, nilitafuta kila mbinu ya kumuingia lakini nashindwa na sijawahi muona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.