Nakupongeza sana mayapila pia nakupa pole ,hawa wapumbavu hawajui walitendalo ,kazi kwako mwema na mwamnyange, ila swara la kuunda tume nila kijinga sababu inaeleweka,wanajeshi watanzania hawana adabu sikuzote wanajiona wao wako sawa wao ndio wana uhuru wakila kitu kwakweli wamemzalilisha...
Mzalendo halisi unauliza kama bado mbunge ,huyu babu alishindwa lakini alikuwa amekata rufaa na rufaa yake ilikuwa bado kusikilizwa kwakweli mungu amulaze mahali pema peponi
Haya wana JF Nipeni ushauli nimemkuta mchungaji anavunja amri ya sita na mkewangu akaniomba nisimzuru ila twende wote kwake namimi nikamgonge ngozi mkewake, kufika kwamkewe akampa full mkanda nakilichotupeleka pale mwanamke akagoma kutoa mashine akasema mmalizane hukohuko msinihusishe mimi sasa...
Wana JF Naomba ushauli nimemfumania mkewangu analiwa uloda na mchungaji wa kanisa moja hapa dar mchungaji akaniomba nisimzuru ila twende wote kwa mkewake namimi nikale ngozi kwa mkewe,kufika mkewe kagoma akasema unakuja kunigongamimi umekuta mimi ndie nimempanda mkeo? kamalizane wenyewe huko...
Mfumwa umeongea la busala sana manake huyu Anord anaonysha anawatambua wote kwamajina ndio maana anasema kuwa wanaficha majina namshauli atakapotaka kuchangia mada yoyote ile iweya kumkosoa mchangiaji basi amtaje jinalake lauficho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.