Wanabodi,
Nahitaji kukodi Malori Matano ya Kichanja (not box body, preferably Scania 113) haraka iwezekanavyo. Terms & Conditions ni kama ifuatavyo:-
Malipo kwa siku ni 500k (Laki 5). Hii ni net payment wakati gharama zote za Dereva pamoja na mafuta ni juu yangu;
Gari liwe katika hali nzuri...
Sifa za Muombaji:
Awe na elimu angalau ya Kidato cha IV
Awe na Cheti kutoka Chuo kinachotambulika na Serikali
Ujuzi katika kutumia Microsoft Applications
Awe na umri kati ya miaka 18 - 25
Awe tayari kufanya kazi katika Mkoa wowote ule atakaopangiwa majukumu
Mshahara utategemea na sifa za...
Hii ni kazi njema na yenye thawabu kubwa mno machoni pa BWANA! Mwenyezi MUNGU Aikumbuke sadaka hii unayoitoa sasa katikati ya giza totoro la uzinifu! Aidha, Nashauri utoe contacts ili, kama unavyosema, wapo Watu wachache hapa ambao BWANA Atasema nao na kuwaongoza kwenye njia ya toba na wokovu...
Nimekuwa mteja wa mtandao mmoja wa simu hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 sasa. Licha ya kupata huduma bora katika kipindi chote hicho, hata hivyo hivi karibuni nimekuwa Nikishuhudia wizi wa fedha nilizokuwa nikitunza kama akiba kwenye account yangu ya simu. Yaani unaamka tu asubuhi unataka...
Kampuni ya SIMA Investments inapenda kuwajulisha kuwa tunauza na kusambaza mafuta bora ya kupikia ya alizeti (sunflower cooking oil) pamoja na nafaka kama vile mchele, maharagwe, choroko, kunde, mbaazi, dengu, uwele, mtama, ngano, n.k kwa bei nafuu zaidi. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia...
Habarini?
Ninauza choroko safi kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa bei ya jumla jumla, kwa walioko Dar es Salaam bei ni TZS 2,500/kg na kwa wengineo ni TZS 2,000/kg.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia cerealsgrocery@outlook.com Pia, tuna nafaka aina zote kwa bei poa kabisa.
Karibuni!
Katika siku ambayo umenena kama GT tangu ulipojiunga na CCM ni leo, kama leo Vijana tungekuwa tunajadili Siasa kwa maslahi mapana zaidi ya Taifa letu badala ya kutanguliza unazi, ushabiki na mihemko isiyo na tija basi hakika tungeibadilisha Tanzania yetu katika nyanja zote kuanzia kisiasa...
Kuota usiku ni dalili njema kwamba hata kama sehemu kubwa ya mwili imepumzika kufanya kazi, bado sehemu muhimu za ubongo zinaendelea kuratibu na kufanya kazi zake kama kawaida. Hata hivyo, unapoota mchana kweupe namna hii wakati mwili wako wote uko active ni dalili kuwa sasa ubongo wako umeanza...
Kuota usiku ni dalili njema kwamba hata kama sehemu kubwa ya mwili imepumzika kufanya kazi, bado sehemu muhimu za ubongo zinaendelea kuratibu na kufanya kazi zake kama kawaida. Hata hivyo, unapoota mchana kweupe namna hii wakati mwili wako wote uko active ni dalili kuwa sasa ubongo wako umeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.