Naomba ushauri na uzoefu wenu wadau kuhusu aina ya mabati, ubora and gharama zake katika suala la ujenzi. Je mabati au vigae vizuri? Je kuna mabati au vigae vinavyotengenezwa nchini vyenye gharama nafuu? Ubora ukoje? Naomba kuwasilisha.
Wadau ! Ni Mabati au vigae ni bora na bei nafuu kwa kuezeka nyumba ukanda Wa pwani? Kama ni mabati ni yapi ambayo hayapauki kwa haraka? Naomba uzoefu wenu.
Ni vigezo gani ulivyotumia kusema hivyo? Ni kuchangia Bungeni? Kuandikwa kwenye vyombo vya habari? Utekelezaji wa ahadi za uchaguzi? Ni vyema tukawapima kwa mizania sawa pasipo kuweka ushabiki.
Rais wa Senegal Abdulaye Wade amekubali matokeo katika mzunguko wa pili wa uchaguzi wa urais. Wade ambaye ana miaka zaidi ya 80 alibadili katiba ili aweze kugombea mara ya tatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.