Haya, leo taja kumbukumbu ya tukio kongwe kuikumbuka katika maisha yako, katika utoto wako.
Namaanisha, ni tukio ambalo hukumbuki tena tukio lengine kabla ya hilo. Usisahau kuandika angalau kwa kukadiria, muda huo ulikuwa na umri gani.
SABUFA elfu hamsini, DRESSING TABLE (lina mwezi mmoja) laki na hamsini, MASOFA mawili laki mbili na nusu. Kwa mawasiliano ya haraka mudiduladula@gmail.com tupeane namba.
Jamani mimi ni kijana wa makamo, sina kazi yoyote. Nategemea ki leseni changu munisaidie kazi yoyote ya udereva. Iwe kumuendesha mtu n.k. Basi ni p.m munisaidie mwenzenu nimekwama.
Nina imani nitasaidiwa haraka.
Naombeni mnijuze gharama na "process" ya kukata paspoti ya kimataifa kwa hapa Tanzania. Nataka kusafiri kwenda Marekani.
Jamani nipo "serious", hebu nijuzeni na wala sina maana nyengine yoyote zaidi ya kutaka kujua.
Kipesa changu ni milioni 1.5(bila kuzidi).
Natafuta kiwanja ndani ya wilaya ya TMK, DSM.
N.B. Kwa wanaoweka namba ya simu (public or privancy), wakiweka za tiGO nitawapigia punde tu baada ya kuweka.
B.M Impex tunawakumbusha kuwa bado tunaendelea kupokea korosho, lakini zile za Mtwara tumezisimamisha kwa muda. Kwa sasa tunapokea korosho za Tunduru kwa bei yetu nzuri ya shilingi 1500 kwa kilo moja.
Meneja masoko bm impex 0653422776.
Kama una korosho za Mtwara na hujapata soko la...
Natafuta pikipiki KIBAO CHA MBUZI ya aina yoyote. FEKON, SANLG n.k.
Bajeti yangu ni shilingi laki tatu (300,000/=), bila kuzidi hata kidogo.
Piga chap-chap tufanye biashara chap-chap 0653422776.
Nipo DSM, TMK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.