UPEPO mbaya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) unazidi kuvuma, safari hii wabunge wake wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi mawaziri watatu.
Mawaziri wanaotakiwa kungolewa ni Dk. Shukuru Kawambwa (Elimu na Mafunzo ya Ufundi), Dk. Mathayo David Mathayo (Mifugo na Maendeleo ya...
RIPOTI ya tume iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa mwaka 2006 kuchunguza ujenzi wa maghorofa katika Jiji la Dar es Salaam, imemweka mahala pabaya na inaweza kumtoa kafara, Waziri Mkuu wa sasa, Mizengo Pinda, Tanzania Daima Jumatano limedokezwa.
Pinda anatolewa kafara...
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, (CHADEMA), amewataka Watanzania watarajie mapanbano makubwa zaidi bungeni, hata ikibidi ngumi kupigwa, ili kuleta ustaarabu na kutetea haki ya kidemokrasia katika chombo hicho cha kutunga sheria.
Ndesamburo ambaye amekuwa bungeni tangu mwaka...
wakuu demu wangu kaamua kuniacha , nipo nae hu n mwaka 3, na mwez 1 this year alinitambulisha kwa mama yake , na mama yake maneno aliyotuambia muheshimiane , msichezeane alafu mkashindwa kufika malengo yenu, ila cha ajabu mara ya mwisho kama week tatu zilizopita aliniomba elfu 50, k ukwel...
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa ametakiwa kutokanyaga mkoani Mbeya kuanzia sasa hadi ifikapo mwaka 2015 wakati wa uchaguzi mkuu.
Kauli hiyo imetolewa juzi mjini hapa na kundi kubwa la wanachama na wapenzi wa...
BAADA ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuondoa hoja binafsi ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), kuhusu hatua za haraka za kuboresha upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika jiji la Dar es Salaam, mbunge huyo amekata rufaa kupinga uamuzi huo.
Katika barua...
MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka na vigogo kadhaa wa CCM Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara, wamehojiwa na maofisa wa CCM, kuhusiana na malalamiko ya ukiukwaji wa taratibu katika uchaguzi wa Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa ya chama hicho (Nec) wa wilaya hiyo...
yap asante kwa ushaur mkuu, nimetembelea web ya tcu na nimekuta kimesajiliwa tayar tangia mwaka 2003 na kuna pia masters wamesha graduate intake moja, lengo langu mm n kupata uhakika zaid. alafu mkuu hapo open university arusha kwan wanaanza lin?
hellow wadau , nimechagulia kwa master programme ya business administration in marketing and Entrepreneurship, na uliza je chuo hicho kimesajiliwa? na vp kuhusu quality ya elimu pale na kutambulika kwake? naomben ushaur wenu wadau
hellow wadau , nimechagulia kwa master programme ya business administration in marketing and Entrepreneurship, na uliza je chuo hicho kimesajiliwa? na vp kuhusu quality ya elimu pale na kutambulika kwake? naomben ushaur wenu wadau
hellow wadau , mimi na tatizo la la kisheria linalonisumbua n kwamba kuna jamaa ambaye ni business partener wangu na nahish nae hapa dar, tunafanya biashara pamoja zaid ya miaka minne sasa ila kama miez sita iliyopita hivi tumeingia kwenye mgogoro biashara ila taarifa za uhakika nilizopata ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.