Ni rahisi sana mwambie aweke fixed deposit kwenye bank either crdb au nmb au Tanzania postal bank ambayo itamlipa 14% na hela yake itabakia pale pale atakuwa anakula faida tuu ndo kitu wanafanya wastaafu wengi kuweka fixed deposit ndo solution ya hii kitu hela tabak tuu na yeye atakuwa anapata...
Mkuu hata mimi ni mhanga wa hilo tatizo natumia dawa za hosptal lakin hivi pande kupitia ndugu yangu mwenye tatizo hilo alipata dawa ya kienyeji ambayo yeye alikuwa na presha kubwa sana na amepona na mie ni shuhuda kuwa walikuwa na presha kubwa ...kwa hiyo amenitafutia na mie nimeanza kutumia...
Barber shop clasic bajet ni kama ifuatavyo
1.viti vya saloon clasic @1, 000, 000
2.kiti cha scrub @1, 500, 000
3.fetlizer @350, 000
4.machine za kunyolea @150, 000
5.tv and radio
6 .air port chair @500, 000
Hii ndio rougly bajet km...
habari wadau ndugu zangu nina mpango wa kufungua barbeshop sasa naulizia mwenye ufahamu wapi? naweza pata viti vizuri vya gharama ya kawaida offer yangu mi laki tano(500,000) kwa kiti kimoja naombeni maujanja yenu
nafafuta mchumba wa kike mwenye sifa zifuatazo
1.awe na hofu ya mungu mean ana sali
2.mkristo
3.awe na elimu kuanzia diploma na kuendelea(understanding)
4.good looking chocolate colour au mweupe
mine nipo pouwa graduate nafanya kazi serikarin sio mrefu wala mfupi mean kat kat na heavy weight...
hbar wadau bana naleta hii mada ni wakati gan muafaka wa kumuambia mpnz wako kuwa katika mahusiano yako ya nyuma yalipelekea kuwa na mtoto je ni wakat wa mwanzo wa mapenz au katikati au baada ya ndoa koz yamewah kumkuta rafik yangu alikuwa na mchumba wakafika ktk stage ya introduction kwa wazaz...
du inasemekana kuwa super star ambae jina lake linazidi kupanda chat kwa mda fupi ha hasa ktk kipind hiki cha easter,idadi ya wanaume inawiana kabisa na umri wake wa miaka 17 na list hiyo kama ifuatavyo ally kiba,bob junior,ray,idd azan,kanumba,capt komba,chen, na ww weka yako
aisee wadau naomba ushaur nimekula mayai nais ya kichina mdomo lips ya juu unazid kuvimba mda had mda mwenye kujua dawa ya hili tatizo naomba anijuze maana hali inakuwa mbya nisaidien
hao tanzania daima wanatafuta umaarufu tu kupitia mgongo wa nyumba mbona kuna mambo kibao tu jamii ina discuss tena hoja za msing wanapotezea wasiturudishe nyuma sie tupo mbele km 200000 'nyuma yao
wadau nipo ndan ya mby for x mass nimekutana na show ya aunt virus ambayo inafanyika leo kuanzia saa 10 had saa 6 lakin kutokana na mvua zinazonyesha katika jii hili inaelekea wakapata mswak coz had sasa nipo uwanjan hapa sokoine hali ni tete watu sio weng na tayar show imeanza kitambo labda...
hii serikal c sikivu kabisa serikal inayoendeshwa kwa mabavu nchi ya watu maskin leo mshaarA kwA watumish wanalilia at least frm 135000 to 300000bt wameongeza sh 15000yani sasa ni sh 150000 bt wao watunga sheria wanajongezea kwa kufullu nw posho yA cku moja ni mshAara wa mtu hii c dhalau ipo cku...
wAdau habar nilizozipata ni kuwa kuwa soka la tunduma linaungua sasa iv hzi hbar nikutoka kwa mtu aliyeko huko mby tunduma soko hlo lipo karibu na police post tunduma jaman mby kunani?
hao watt awajielew hiv kwel ktk normal situation linah amemshinda j mo katika mafanikio yA kimusic wakat jmo kaanza music linah ajazaliwa kweli her mungu akunyime vitu vyote akupe hekima na akil leo jmo ana suport watu wAliomnyonya takriban miaka kumi kwel hv vituko
unaongea nini ww buswela upupu mtupu au umenunuliwa na basha wako ruge ruge anaweza knunua mijitu km nyie but awez kukunua haki ya mtu ndo maana leo arobain yake imefika vinega leo wanawafunika vbya hao mashoga
jamAn c ndo sugu kamtoa afande sele kimziki alikuwa anavuta bangi pale msamvu katika pita ya sugu afande akamuomba sugu amtoe sugu bila hiyana akampa mwimbo ktk albamu yake "nikianguka sitaweza kunyanyuka" kwel mfadhili mbuzi binamu anamaudhi leo hii anamsaliti mtu aliyemfikisha hapo kimziki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.