Nikiwa kama mteja wa Vodacom kwa kipindi kirefu, nilijiunga na utaratibu mzima wa tuzo point toka kipindi ulipoanzihwa na nikawa najikusanyia points nia na madhumuni ni kwamba nikusanye point nyingi zaidi ili nipate zawadi kubwa. Ni zaidi ya mwaka sasa natumaini umepita.
Kipindi chote natumia...
Mimi nahitaji kujua zaidi husiana na hawa jamaa wa hisa pepe.. Ni kwamba tangu wameweka website yao hewani na kujitangaza kwa bidii zote huku wakihamasisha watanzania kujiunga kwa wingi ili waweze jipatia kipato kidogo kwa kusoma matangazo na mengineyo hakuna lolote la maana ambalo waweza sema...
Habari za Mchana wajameni...
Naomba msaada wenu kwa mtu ambaye anaweza nipatia link ambayo ntaweza download kitabu hiki. Ni masuala ya kufa na kupona.
Nigel Slack - Operations Management [Fifth Edition]
Invisible Please Assist!
Salaam.
Wana JF,
Nawasalimu. Nimekwama na natumaini ntapata msaada hapa Jamvini. Nilikuwa nahitaji kufahamu umbali wa mikoa ya Tanzania [Katika Kilomita au Maili] kutoka Dar es Salaam.
Nimejaribu katika source zote nimeshindwa fanikiwa, natumaini ntaweza saidiwa katika hili jambo.
Mzz.
Hivi karibuni katika Chaguzi mbalimbali za viongozi wa Juu wa nchi [Marais] barani Africa kumekuwa na malalamiko ya kwamba chaguzi hizo hazikuwa za huru na haki na kwamba wale ambao walitangazwa kama Washindi walifanya hayo kwa hila nasi washindi halali. Hapa ni kwamba wale viongozi ambao wapo...
Hata wachache wanashinda
*
Ansbert Ngurumo
ALAMA za nyakati sasa zinaonyesha kuwa walio wengi wakitetea uongo, wachache wakatetea ukweli; wachache watashinda.
Sijui kama serikali imezisoma, kuzitafsiri na kuzitafakari vizuri. Lakini dalili zinaonyesha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.