Search results

  1. Mzozo wa Mizozo

    Meli ya mizigo yazama Tanga

    Bahari imechafuka...wnadugu jihadharini kwa usalama...
  2. Mzozo wa Mizozo

    Tamko la serikali dhidi ya kampuni zitakazo sababisha ajali...

    Kwa hiyo kimsingi waliosababisha ajali kutokana na uzembew wa waziwazi wamesamehewa?
  3. Mzozo wa Mizozo

    Upuuzi wa Kipanya

    Hii safi sana.... sasa tunahitaji kuwa na mwamko kidoooogo.
  4. Mzozo wa Mizozo

    UDSM yashuka kwenye list ya 'Top African universities'

    Yaani katika Top 100 Tanzania tuna Chuo kimoja tu? Khaa ina maana hivi vingine tunaviita vyuo vikuu ni Nursery?
  5. Mzozo wa Mizozo

    UDSM yashuka kwenye list ya 'Top African universities'

    Nadhani haya ndio matunda ya Taifa kutokuwa na vipaumbele na serikali kuongoza nchi kwa ushabiki.
  6. Mzozo wa Mizozo

    Nimezipenda solution za January Makamba kiukweli

    Bado sijamwelewa yeye na jumuia/kamati yake...
  7. Mzozo wa Mizozo

    Tamko la CHADEMA kuhusu Mabomu ya Gongo la Mboto

    Ngoja tunasikia tu mabalaa...!
  8. Mzozo wa Mizozo

    Mwitikio wa Wananchi juu ya Mlipuko wa Mabomu Gongo la Mboto

    Daah kama vipi si tufanye kwenda saka mechi tu na nchi za jirani...mbona tunakaa na kufanyana vibaya wenyewe kwa uzembe wetu?
  9. Mzozo wa Mizozo

    January Makamba akataa bahasha za milioni moja za "Lunch"

    Lunch ya milioni moja? daah... staki jua zaidi.
  10. Mzozo wa Mizozo

    Pete hizi mikononi mwa viongozi wetu wakuu ni za nini?

    Hahahah Labda ni za ndoa...
  11. Mzozo wa Mizozo

    Sihitaji kura za wafanyakazi (T-shirt Ziko Mitaaani)

    Hii kazi nzuri sana...sasa kuna haja ya hizo tshirt kuwa na maandishi makubwaaaaaaaa!!!! yaani hata mtu yupo mita mia aweze kusoma na yasiwe ya kufichika fichika...
  12. Mzozo wa Mizozo

    Kwa kina kaka wote(wanaume)

    Hahaha sasa hapa sijui ni nini kinaongelewa maana si inajulikana wazi wazi kwamba si unatakiwa pigania haki zako kwa njia yoyote unayoona inafaa ama?
  13. Mzozo wa Mizozo

    Uvaaji wa kondomu kama vazi

    hahahahha duuu hii mikitu not recomended kitaa.
  14. Mzozo wa Mizozo

    King crazy gk

    Hahahaha naona Nguli kwa makusudi umeamua kumpotosha Zion...ona sasa...LOL! Buji wll husiana na huyu jamaa ni kwamba yupo tu sema upepo wa mafanikio unatembea against yeye...sema nadhani kuna juhudi binafsi zinafanyika kuhakikisha ya kwamba kijana anarudi katika ramani ya bongo...
  15. Mzozo wa Mizozo

    King crazy gk

    Hahahaha naona Nguli kwa makusudi umeamua kumpotosha Zion...ona sasa...LOL! Buji wll husiana na huyu jamaa ni kwamba yupo tu sema upepo wa mafanikio unatembea against yeye...sema nadhani kuna juhudi binafsi zinafanyika kuhakikisha ya kwamba kijana anarudi katika ramani ya bongo flava..tumuombee...
  16. Mzozo wa Mizozo

    David Kafulila ahamia NCCR Mageuzi akitokea CHADEMA

    Safari njema kwa Former Kamanda Kafulila...suala la kadi inabidi tu arudishe, kuna mantiki ipi kung'ang'ania huku akisema ya kwamba kajivua uanachama? Husiana na suala la Kombati hilo hakika si mali ya Chadema ila tunatakiwa kufahamu kwamba Mahusiano ya Kafulila na kuvaa Kombati yalitokana na...
  17. Mzozo wa Mizozo

    Usanii wa VODACOM (T) na Tuzo Points...

    Kigogo, kama ningekuwa nataka kuchukua simu za kubadilisha na tuzo points 10,000 ningekuwa nazo zaidi ya nne....niko interested zaidi na zawadi kubwa kabisa. Ahsante.
  18. Mzozo wa Mizozo

    Usanii wa VODACOM (T) na Tuzo Points...

    Nikiwa kama mteja wa Vodacom kwa kipindi kirefu, nilijiunga na utaratibu mzima wa tuzo point toka kipindi ulipoanzihwa na nikawa najikusanyia points nia na madhumuni ni kwamba nikusanye point nyingi zaidi ili nipate zawadi kubwa. Ni zaidi ya mwaka sasa natumaini umepita. Kipindi chote natumia...
  19. Mzozo wa Mizozo

    Dr. Mponjoli: Police smash alleged luxury car theft ring

    Whatever it is he will pull through... Wakoloni walishachukua sana sema tu bahati mbaya he got caught up. He is not called Dr for nothing and he will sure roll the dice once again!
Back
Top Bottom