Search results

  1. C

    Kupiga kelele wakati wa Tendo la ndoa(swali kwa wanawake)

    mi nasikiaga ukiona msichana anapiga kelele ujue mwanaume wake nanihi ni fupi..! ila kama ni ndefu kiasi cha kutosha husikii kelele kwa maana ya sauti, ila ukimuangalia usoni unaona anavyojisikia..! I wish ninge-demonstrate ninachosema!
  2. C

    Natamani nimtag!!

    mmh huyu mtoa mada natamani ningemjua, mnaweza kuniunganisha naye?! asije akawa anamuongelea demu wangu aisee, maana anachokiongelea kama kinafanana fanana vile.
  3. C

    Kauli za Rais zanisababishia ugonjwa wa moyo.

    tuwe wavumilivu jamani.. dhiki inaposhamiri maana yake faraja imekaribia! historia ina sifa ya kujirudia, na sijakata tamaa kuwa ipo siku itajirudia kwetu tanzania kupata raisi aina ya nyerere tena. hofu yangu ni kwamba kihistoria kama ilivyotokeaga kwa mwalimu, mapambano lazima!!
  4. C

    Kikwete: Pamoja na utoto wake, kijana alifanya kosa kubwa kukojolea msahafu!

    Tatizo ni kwamba uki-post kitu, au kuchangia kitu kwenye mijadala ya udini unajikuta kwa kukusudia au kwa kutokusudia (automatically) unachangia kuchochea vita hii nchini..! people should really think twice before going on with this discussion. hali sio nzuri, ila kuendelea kujadili haya mambo...
Back
Top Bottom