Bro, unasikitisha sana. Unatamani ungezaliwa mwanamke?? Duh!!
Mimi najivunia sana kuzaliwa Mwanamume, tena huwa namshukuru MUNGU kwa hilo.
Wanawake ni mama zefu, dada zetu ndio, lakini, wanapitia majanga mengi sana katika maisha kutokana na maumbile yao. Mfano, wanaenda hedhi kila mwezi...
Wewe kama wewe unapata hasara gani ikiwa hao uliowataja hwatatembelea Tanzania au utapata faida gani ikiwa watakuja hapa Tanzania?
Utakosa kula ugali ikiwa Jill Biden hatakuja nchini kwako?
Una Wake wawili halafu unashindwa kugharamia matibabu ya baba yako sh. 250,000 ??
Hao wake zako wawili unawatunzaje? Acha kuwalaumu watu kwa shida zako za kizembe, jipange, na usipojipanga vizuri utaenelea kumchukia kila mtu na mwisho wa siku utamchukia mpaka MUNGU.
Serikali ya Tanzania haiwezi kutoa kibali kwa Starlink sababu wanaogopa kupoteza pesa wanazopata kutoka kwenye makampuni ya simu yaliyopo nchini.
Makampuni haya yanatoza bei kubwa sana za vifurushi na Serikali inanufaika sana kutokana na bei hizo kupitia kodi.
Wewe ni mpuuzi sana. Baba yako akiweza kukusomesha International School hata kama yeye aliishia la saba la Kayumba, huyo ni baba bora kabisa na unapaswa kumheshimu sana.
Wapo watu wanatamani sana wangepata baba mwenye uwezo na skill ya kuwagharamia masomo yao wakasoma hata kama baba huyo hajui...
Sisi Wakristo tumefundishwa na BWANA MKUBWA YESU KRISTO kuwa yeyote anayeoa mwanamke aliyeachwa, mtu huyo anatenda dhambi ya zinaa.
Na kila anayetenda dhambi ya zinaa kamwe hatauona Ufalme wa MUNGU.
Mwenye masikio na asikie.
Mwanamke ni kama mti wenye miba mikali sana lakini una tunda tamu sana.
Mwanamke ana kitu kimoja tu kitamu sana na kizuri sana, lakini vingine vyote alivyonavyo ni matatizo tupu.
Wanaume, ishini na Wanawake kwa akili.
Unao ushahidi au ni majungu tu ya mtaani?
Tuwekee ushahidi, ikiwa ni pamoja na jina la benki, account number na mmiliki wa hiyo account.
Ukishindwa kufanya hivyo, basi, wewe ni mpika majungu tu.
Ili usichapiwe, kwa wale ambao hamjaoa bado, hakikisha unaoa bikra. Kamwe usioe mwanamke aliyetumika. Narudia, hakikisha unaoa BIKRA.
Kwa waliooa, vumilieni tu hamna namna. Lakini ukigundua Mkeo analiwa nje na ukiwa na ushahidi basi unaweza kumpa talaka kama ukipenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.