Michuano ya Sprite Bball Kings 2019 inayoandaliwa na EATV, EA Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite imezinduliwa Jumamosi Agosti 17 katika viwanja vya Mlimani City.
Huu ni msimu wa tatu wa michuano hiyo, ambapo katika usajili na ufunguzi, timu mbalimbali zimejitokeza kujisajili na...
Kiufupi ni kwamba Ali Kiba bado hajatoa video ya Mwana ila ni audio tu ambayo watu walichukua picha picha zake za zamani na kuitengeza kisha kuiweka you yube... Alisema ataitoa Video hiyo muda si mrefu..................
Ngoja kwanza video iletwe ndio ufanye hizo analysis zako
Yaani hawa washikaji kama walijua vile huyu mdada nina maswali kibao sana juu yake.
Awamu hii ya pili ya uongozi wake huku Kawe naona kama amelegea tofauti na pale mwanzo,nimeicheki hii nikaona nishee na na nyie wadau wenzangu, maana hii wanasema unamuuliza swali naye anakujibu katika comment...
Jamani wapendwa nimeona ni-share na nyie hili, nimepitia page ya EATV na kuona wameweka kuwa kesho katika chat yao ya KIKAANGONI LIVE, watamkaanga mwanzilishi wa Jamii Forums, naamanisha atachati na kujibu maswali ya watu tofauti kuhusu yeye na jamii forums
================================...
HAAAAAAA!!!!kUMBE JAMAAA CHAKULA YA WATU SASA MBONA WATU WANABWABWAJA SANA KUPIGA PICHA HIZO NA HUYO DEMU!!!NI SHOSTI WAKE TU SI UNAJUA HAO MAGAYS WENGI HUWA MARAFIKI ZAO NI MADEMU
Huna adabu, jitu kubwa kama wewe bado uko kwa shemeji kakaako watafuta nini,,,watu wanaanza maisha na miaka20,hebu acha uzembe wewe toka katafuta kazi,,unamuweka shemeji yako majaribuni bure kwa kukaa hapo kwake,,,miaka yote hiyo kubwa dede,,,,kapange si una boom wewe...tumia akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.