Kampuni ya Magazeti ya The Guardian wachapishaji wa Gazeti la Nipashe, The Guardian , The Guardian on Sunday na lete Rahaa imepunguza wafanyakazi 120 kutoka Idara ya Editorial , Matangazo na fedha pasipowalipa stahiki ( hawajawasilisha makato ya NSSF toka Mwaka January 2014) zao pamoja na...
Uchaguzi wa ubunge wa Afrika mashariki kupitia CCM umegubikwa kwa Rushwa .. Wagombea utoa Rushwa kati ya Tshs 2 Milion hadi 5 Milion.
Wagombea wanaongoza kwa kutoa takrima ni Ndg Adam Kimbisa na Ndg Kachwamba, Ndg kimbisa pia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma na Mjumbe wa kamati kuu ccm ...
Utafiti uliofanyika katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam umeonyesha kuwa lita moja ya kiungo hicho cha chakula inauzwa kati ya Sh2,800 hadi Sh3,000 kutoka Sh2,500 ya awali.
Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakiendelea kuumia na bei ya juu ya sukari, sasa watalazimika kutoboa zaidi...
Katika ile dhana ya kusoma namba, ni wazi imeendelea kuwatafuna wanachama wa chama changu. Katika gazeti la leo, aliyekuwa spika wa bunge la tisa ametoa kali na kusema Rais Magufuli anashauriwa vibaya. Hasa baada ya kutumbua jipu la Reli.
Samwel Sita, kasema Magufuli kachukua hatua hiyo baada...
Kwenda kanisani ni LAZIMA...... Ya kaisari tutampa kaisari na ya Mungu tutampa Mungu.... Kwa siku ya jumamosi, serikali itusamee ni siku yetu takatifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.