Search results

  1. M

    CCM ilihusika kifo cha Wangwe?

    EXPIRED! Even to TBS standards.
  2. M

    Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    [/COLOR][/I] Bado ipo. Ndulele (au Tura) zipo lakini sio rahisi kuzipata sehemu nyingi za DSM. Kwa mikoani zipo lakini sio nyingi kama zamani. Ni dawa kamambe kwa magonjwa ya tumbo mpaka gonorrhea, pia kwa mifugo. Mbigiri (ulimkumbuka afande Mbigiri wa pale Makutopora nini?), nazo nio kama...
  3. M

    Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

    Ile tathmini ya Ngawaia, huu ndio wakati muafaka wa ki-itathmini. Iwekwe hapa.
  4. M

    Mgombea wa CCM Tarime akataa matokeo

    Kwani hajui sheria za uchaguzi? Msimamizi akishatangaza, hayo ndiyo matokeo halali. Kilichobakia ni yeye J3 awahi Mwanza, Mahakama Kuu, kwa minajili ya kufungua kesi kupinga matokeo!
  5. M

    Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

    [/I][/COLOR] Asubiri kufungua kesi mahakamani. Mategemeo ya kesi hiyo kuisha haraka ni 2010! Akakusanye ushuru TRA!
  6. M

    Kumbe hata Mabepari huzikimbilia sera za kijamaa mambo yakienda kombo

    Moribund Capitalism. Decaying Capitalism. Je, ndio tunauona mwisho wa ukabaila kupitia kwenye hii Financial Crisis (Credit Meltdown)? Remember DS100!
  7. M

    Serikali yamcharukia mwekezaji Mwadui yasitisha mauzo ya hisa

    Haya masuala yanahusu mambo ya Holding Companies, Minority Interests, Merger & Amalgamation etc. Ni mambo ambayo ni magumu na yanahitaji wanasheria waliobobea kwenye sheria za merger and the like. Majibu ya kijuu juu aliyoyatoa Ngeleja hayajibu hoja kuwa mgodi wa Mwadui haujauzwa. Tukumbuke...
  8. M

    Sheria ya ajira kwa wazalendo inasemaje?

    Sio Wakenya tu, Wanyasa + Wakongo + Warundi wapo kibao. Mpaka kwenye ofisi za serikali.
  9. M

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    Kama ana upako wa Mwenyezi Mungu, mbona hakutabiri kifo hicho kabla hakijatokea? Huyu mtu kwa sasa anaonekana yupo zaidi kuganga njaa
  10. M

    Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    [/COLOR][/I] Ni kweli Dede ni mkorofi kwa tabia. Kuna wakati Hussein Jumbe alipokuwa Sikinde waliwahi kuzipiga ukumbini. Kinachompa chati ni uwezo wake wa kutunga nyimbo zenye hisia kali na ukorofi wake unasaidia kujenga nidhamu kwenye bendi. Hata Sikinde, huwa anakuwa kiongozi baada ya muda...
  11. M

    Wana CCM Wajipanga Kuikomboa Moshi Mjini

    Au mbunge mzuri ni yule aliye fisadi, asiyejali maisha ya wapigakura wake? Bw. Masatu kwa hili - kajifikirie upya!
  12. M

    Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    Dede kabla ya kwenda Sikinde alikuwa msondo. Ni mpenzi mkubwa wa Simba, siku hiyo Simba ilikuwa inacheza na Coastal. Dede akakacha onyesho la Msondo akaenda mpirani. Alivyorudi ukumbini baada ya mechi akatimuliwa na kunyang'anywa uniform. Hapo ndio akarudi Mlimani na kutunga nyimbo ya 'Talaka...
  13. M

    Membe & Kabaka: Lindi kuanzisha University!!

    Suala la kila mkoa kuwa na University yake silishabukii wala siliungi mkono. Kama haja hiyo ipo, basi zingeanza kwa Kanda. Sababu kubwa ni kama ifuatavyo:- a. Wanafunzi wa kuingia kwenye hizo university wako wapi? Kwa hali ilivyo sasa, mahitaji ya wanafunzi wa sayansi kwenye vyuo vilivyopo bado...
  14. M

    Cartoon Yenye Ujumbe Mzito!

    ANC wanaripotiwa kuja juu kuhusu katuni hiyo. Message sent.
  15. M

    Ndomba kumrithi Hosea very soon

    Ili kuitengenezea mazingira mazuri na bila kuhusisha makada wa chama, kwa miaka miwili post hiyo ikaliwe na TX kutoka nje - ikiwezekana apendekezwe na vyombo kama Transparency International. Huyu aweke misingi mizuri, afanye capacity building etc.
  16. M

    Tujikumbushe baadhi ya wanaoifisadi Tanzania

    Haya. Na wafu wazike wafu wao!
  17. M

    Asilimia 40 ya bidhaa nchini ni feki

    Hata hiyo 40 ni understated. Almost 'all' drugs, electronic goods, used cars (wanaonunua brand news ni wachache sana), foodstuffs, textile materials ni vya kugushi.
  18. M

    Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

    Sio kutodaiwa tu, ilikuwa na foreign reserve kubwa sana kutokana na karafuu. Kipindi hicho ndio ilikuwa mzalishaji mkubwa duniani. Rumours zilizopo ni kuwa vita vya Kagera ndivyo viliifilisi 'nchi' (!) hiyo
  19. M

    Wametumia mabilioni mangapi kucopy report ya Ernst & Young?

    Na very soon itaundwa Tume nyingine ya kufuatilia utekelezwaji wa mapendekezo ya Tume ya Mwanyika.
  20. M

    TUCTA washindwa kuandaa mgomo hata mmoja!

    Hivi vyama vya wafanyakazi - if TUCTA, TUICO, RAAWU, TUGHE etc. vilianzishwa na serikali na havina mizizi yeyote kwa wavuja-jasho. Vipo pale kwa kuitetea serikali. Ndio maana chama cha waalimu CWT kwa vile ni kilibuniwa na waalimu wenyewe, kina nguvu na kinasikilizwa. Kujitenga kwake ilileta...
Back
Top Bottom