Hujui unachokisema. Alijidhihirisha miaka elfu mbili imepita tena alikuja mfano wa mwanadamu. Wakamkataa wakampiga wakamwua. Akawathibitishia uungu wake kwa kufufuka toka kwa wafu ila bado kuna watu wanamkataa na wewe ndugu mwandishi waweza kuwa mmoja wao.
Shetani anamjua Mungu uso kwa uso na...
Nilichokiona ni kuwa mungu unayemwamini sio Mungu aliyekuumba. Biblia iko wazi kabisa kwenye haya mambo.
Nikusaidie na huu mstari unaojibu moja kwa moja swali lako. Kabla sijauweka ujue tu kipofu kama hamwoni mtu hawezi kudai amejificha...!
“Kisha akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye...
Kizazi kinachosikia kwa macho na kuwaza kwa moyo huwa ni kizazi dhaifu sana. Hukuza mambo yasiyo ya msingi na kuyafanya mambo ya msingi yasiyo na maana. Mungu akirehemu kizazi hiki!
Kanisani huwa vinafanyika vitu viwili. Moja inafungwa ndoa mbele za Mungu. Hii ni mpaka Mungu aitenganishe.
Baada ya hapo kuna mkataba wa kiserikali ili kuwatambua kama wanandoa.
Ndoa ni Mungu pekee ndiye anatenganisha. Mkataba wa serikali, ni serikali ndio inatenganisha!
Kwa hiyo Mahakama huwa...
Basi Paulo ni mpagani namba moja. Nyuma yake mpagani naba mbili kwa post yako hii na mpagani mkuu ni Yesu aliyemtuma Paulo.
Waraka wa Wagalatia utakufaa sana, maana nawe umerogwa kama Wagalatia wa enzi zile!
Paul, an apostle of Christ Jesus by the will of God Eph 1:1
Paul, an apostle of Jesus Christ by the will of God, according to the promise of life which is in Christ Jesus - 2Tim 1:1
Paul, a servant of Jesus Christ, called to be an apostle, separated unto the gospel of God Roma 1:1
Ana mamlaka...
Biblia imesema alichkiungamanisha Mungu mwanadamu asikitenganishe. Maana yake ili talaka itokee Mungu ni lazima ndiye atenganishe na sio mtu. Huyo mwingine unayemuongelea ni mtu au Mungu? kama ni mtu bado andiko linasimama!
Namaanisha kuna vitu kuvielewa lazima muktadha wa tamaduni husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.