watu kama akina slaa ni mabilionea kwa hiyo kwao mabadiliko haliingii akilini wala halina ulazima kwao badala yake alihitaji tu kuwa rais.kwa hiyo tusimwamini sana maana shida za ajira,umeme,maji,barabara maana yeye anapanda ndege na afya tunazo sisi.anakotaka kutupeleka ni kule kulikotufikisha...
watu kama akina slaa ni mabilionea kwa hiyo kwao mabadiliko haliingii akilini wala halina ulazima kwao badala yake alihitaji tu kuwa rais.kwa hiyo tusimwamini sana maana shida za ajira,umeme,maji,barabara maana yeye anapanda ndege na afya tunazo sisi.anakotaka kutupeleka ni kule...
watu kama akina slaa ni mabilionea kwa hiyo kwao mabadiliko haliingii akilini wala halina ulazima kwao badala yake alihitaji tu kuwa rais.kwa hiyo tusimwamini sana maana shida za ajira,umeme,maji,barabara maana yeye anapanda ndege na afya tunazo sisi.anakotaka kutupeleka ni kule kulikotufikisha...
shida ni ileile ya watanzania kuonekana malofa hawana akili zao za kujiwezesha kutambua mchele na pumba.hivyo wao wanathani ndiyo wanazo akili za kuwainject watz.lakini la pili ni pesa,slaa atakuwa amepata pesa na siyo bure lakini la pili ni ubinafsi wa yeye kufikiri angekuwa ndiye anayefaa kuwa...
mafisadi wakina nani ambao magufuli atawafunga.wakina chenge,akina balali,akina mkapa,akina jk akina z1 angekuwa jasiri kama angewataja hao mafisadi.hiyo ni gia tu ya kuutaka uraisi ila haitatokea katika akili ya kufikiri kawaida.kama itatokea ccm ikachaguliwa tutegemee vioja.ccm bado hawajawa...
kwa miaka mitano hakuna wa kutufikisha pabaya zaidi ya hapa.hatuna umeme.hatuna viwanda,maji,ajira,ufisadi,rushwa,barabara,elimu mbovu afya mbovu,hali ngumu ya maisha.wapi pabaya zaidi ya hapa atakapotufikisha lowasa?kwani ccm kwa miaka yote ni lipi wanajivunia.ufisadi kwa hali ya sasa unawahusu...
kaskazini msifikiri ni malofa kihivyo,subirini tarehe 25 ndiyo mtatujua.tusingeacha kwenda kusikiliza vihoja vya magufuli eti tanesko wanamhujumu wanamkatia umeme,eti atafufua viwanda.hizi ngonjera tulishazisikia tangu enzi za kale.utaanzishaje viwanda wakati hakuna umeme.inawezekana magufuli...
heuenda ni tatizo la kuwa na mitizamo tofauti.mimi sioni sababu yoyote ya kuchagua ccm kwa sababu wameshaishiwa uwezo wa kuongoza na kuleta maendeleo.anzia mwinyi,mkapa na kikwete elewa walipewa sifa nyingi za usafi lakini bado wamepewa miaka 30 na taifa bado ni maskini na ufisadi ukawa juu...
watu wengi wamejivua ufahamu.wapo waliosema watu wengi jangwani kwenye ufunguzi wa kampeni za chadema walikuwa ni wageni dar ni vijana wa monduli walichukuliwa kuja kujaza jangwani.pale mwanzo kwenye kila kampeni za lowasa magamba yalisema watu wananunuliwa.jamani.kwa ule wingi wa watu mwanza na...
Waangalieni vizuri hao wanamusiki na hata baadhi ya makada wa ccm wanapohutubia kuna wakati wana sema mabadiliko halafu wanakonyeza.j makamba alizungusha akazungusha huku akikonyeza akasema mabadiliko.msiwe na wasiwasi hata ccm ambao tupo huku ni kwa sababu tu ya kusubiri kugawana fito.
ni kipimo cha akili zetu kama bado tutaendelea kuchagua ccm.kwa tatizo la umeme peke yake lilitosha kuiondoa ccm madarakani kwani lina miaka 30.nchi ina maji ya kutosha kuzalisha umeme lakini wameshindea leo wana kisingizio cha kutumia gasi.ni changa la macho.inamaana kama tusingepata gasi...
kama kuongea kungekuwa ndiyo kipimo cha mtu kuleta maendeleo basi tanzania kupitia nyerere na kikwete ingekuwa kama marekani.lowasa siyo mtu wa perereee ni mtu wa maneno machache na vitendo kwa wingi.
Kwani wanajeshi na usalama wa taifa hawaogopi kansa ya damu?sala zote zilizosaliwa misikitini na makanisani watapona hao wezi wa kura au watakao tangaza kinyume na hali halisi?tunaweza sisi tusiwaweze lakini mungu hatawashindwa.
ni ipi dhambi iliyo ndogo na ipi ni kubwa.hao wasafi waliowahi kuchaguliwa wametufikisha hapa kwenye kafsha zisizo na idadi za kifisadi na kwa sasa sifa ya usafi haitoshi tumpe mchawi mtoto atulelee.Mtikila naye ni mnafiki kwa nini alete huu uzushi kipindi hiki kama hajala pesa ya mafisadi wa...
kama tupo watu makini tanzania tutaiwajibisha ccm mwaka huu.zipo sababu nyingi za kufanya hivyo na kwa kutaja chache tu niseme tatizo la umeme tanzania ingeweza ikawa sababu ya kutosha kuwaambia ccm wapumzike kwa amani.haiwezekani nnchi ikawa na viwanda na ajira kama hakuna umeme wa uhakika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.