Habari ndugu zangu wana jamii forum.
Mimi ni mwanamke, mwenye degree ya sayansi ya jamii, nilikuwa naomba kama kuna member yeyote yule amesikia kuna kazi sehemu yeyote ile au kuna nafasi ofsini kwake, nina nina weza kufanya kazi yoyote ile nikipata mafunzo kwa mda mfupi tu na sichagui mkoa wala...
the story is fantastic.the one to die for..naingia jamii forum sababu yako...wamiliki wafikirie kukupa HISA humu..lara una kipaji na ninakukubari toka day one.
kuhusu story....KLM is a real man,ana maconfo ya kufa mtu, nimependa jinsi anavyompenda sisca....uhuska wake ameuvaa vizuri sana.
feel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.