Mimi nataka niwapongeze kwa kunipa huduma iliyopitiliza matarajio yangu,kwani kwangu umeme ulikuwa umekatwa baada ya kutokea hitilafu kwenye armored cable.
Hivyo mkaniambia mara fundi wangu wa umeme atakapokamilisha ufungaji nije niwataarifu.
Tulipokamilisha tukawaletea barua saa sita mchana...
Hongera sana kaka.Umeweza jumuisha ahadi nyingi zilizotolewa mikoa mbalimbali na nini kimefanyika pia. keep it up brother. Vidonge hivi ni vichungu lakini hamna namna nyingine lazima wavinywe ili wapone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.