we mleta uzi pima kwanza ufahamu wako ndo uje na jina lenye vigezo vya kushika wadhifa huo,huyo chalii udiwani pekee umemshinda sembuse ubunge! lkn ucjali sana,kwa ushauri mkumbushe tu kwamba anatakiwa kujua vigezo vya kuwa mbunge ni vipi,angalizo,mwambie akifoji cheti tutamuumbua kwa kuwa...
maafsa wapatao wanne jeshi la polisi jijini Dar es salaam,wameuza madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya bilion moja,ambayo yalikuwa yamehifadhiwa kama kielelezo katika kitengo cha madawa ya kulevya kanda maalumu ya Dar es saalam tukio hili limefanyika leo na kwamba uchunguzi bado...
hii siyo tetesi bali ni habari ya kweli kabisa,na kwamba mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya wilaya monduli kwa uchunguzi zaidi,lakini taarifa za awali zinasema kuwa marehemu huyo alijaribu kunywa sumu lakini mauti hayakumkuta,mpaka alipo amua kujinyonga usiku wa kuamkia jana na ndipo...
hayo ndo madhara ya kuweka mtu acyekuwa na uwezo wa kuongoza bunge,siyo siri mi huwa naona kichefuchefu hata kumwangalia huyo mother akiwa anaongoza bunge.
fikra zako ni pevu sana mkuu,sema serikali yetu inaongozwa na majuha,kwanza Rais mwenyewe hapo alipo hajui hata scale ya mishahara ya watumishi wake ilivyo kwa sasa,anachojua ni kupanda pipa na kwenda kuonana na mabwana zake kuomba misaada isiyokuwa na tija .
busara itumike kumaliza tatizo hilo,chuo kina private security,inatia shaka kwa vipi watu wasio husika na chuo waingie ndani ya chuo bila walinzi kufahamu,poleni sana wana chuo,lkn pia uchunguzi wa kina juu ya hili ufanyike haraka iwezekanavyo.
mleta uzi,cku nyingine ukitaka ueleweke vzr jaribu kutoa na maelezo basi,kuwa hapo walikuwa wapi? kwa sababu gani? nk..kuweka picha tu haitoshi,JF ina watu wa aina tofauti tofauti,si kila mtu ataielewa picha hii katika mtazamo ulio nao wewe,vinginevyo ufahamu wako ni mdogo sana kama unadhani...
mkuu,kuna wala rushwa wakubwa ambao wamesababisha hata hao askari kufika hapo walipofika,mishahara ni midogo sana na pia haiji kwa wakati,cha kufanya hakikisha unatoa maoni yako kikamilifu ktk katiba ijayo kusiwe na tabaka kubwa kati ya walio nacho na wasio nacho,haya yote yatakwisha.
mkuu njaa ni mbaya sana,nakumbuka huyu mama alivyotokwa na mapovu mdomoni wakati wa sakata la Richmond mpaka kufikia hatua ya kusema Maisha yao yapo hatarini lakini wanamwachia Mungu,siamini kama leo hii angechomoa maisha yake kwa Mungu na kuyarudisha tena kwa israel wake,FREEMASON AT WORK.
Safi sana POLISI,ikitokea pesa hizo zikarudishwa ntawashangaa sana askari waliochukua,hiyo ni fursa nzuri ya kumfikishia ujumbe Rais wenu kuwa mshahara haukidhi mahitaji ya watumishi wake,Endeleeni kukomaa mpaka mwisho wa Game,na mkijidanganya kurudisha mtambue pia kuwa hamna kazi tena,msiogope...
TUCTA,Tumechoka na porojo zenu za kijinga,jana mlikuja na hili,leo hili na kesho jingine tena,hamna msimamo,na hao viongozi wenu wachunguzeni kwa makini sana,wamepandikizwa na Serikali,la sivyo mtaendelea kupiga Jalamba na vimishahara vyenu vya kununulia Unga Robo kilo,Amkeni acheni kuburuzwa.
Ni kawaida kwa LAIGWANANI kubeba fimbo ya aina hiyo,na imembidi kubeba fimbo hiyo kwa sababu hiyo sehemu aliyoenda ni miongoni mwa vijiji vilivyopo Monduli ambavyo hakubaliki kama mwanzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.