Search results

  1. M

    Ni wapi naweza kujumua vitenge nikauza Mbeya?

    .msaada wanajamii
  2. M

    Ni wapi naweza kujumua vitenge nikauza Mbeya?

    Wadau msaada, Ni wapi naweza kujumua vitenge nikauza minadan na nikapata faida. Kwani ukijumua hapa Mbeya faida utapata kidogo Sana. Naomba mawazo yenu wadau. Mtaji Ni 1,500,000tzs
  3. M

    Napenda ccm na si tanzania

    Kuiba hela za serikali kwa ajili ya chama na wanachama wa ccm kwa ajili ya familia zao. ni dhahiri tunaamini bila Tanzania ccm itakuwepo. wale wenye uzalendo na wanaweza kufikiri walau hata kidogo hawanampango na ccm tena. mliopumbazwa na watawala ili msione fungukeni tunusuru nchi kutoka kwenye...
  4. M

    CCM tuungane kupinga upuuzi wa UKAWA

    Funguka mwana
  5. M

    Edward Lowassa Mwaka 2015 ataingia Ikulu au Segerea?

    Ni makosa tunayotegemea watanzania kufanya. Kwani hakna wengne zaidi ya lowassa
  6. M

    Wajumbe baraza kuu CHADEMA watinga kwa msajili wa vyama vya siasa na CAG

    Chadema bila kuwa na mikakati sahihi ya kupambana na mamluk kwenye chama, chama kitakufa. kwn NCCR MAGEUZ ilidhoofshwa hvyohvyo. polen sana
  7. M

    Je nifanyaje kupata sponsorship in MBA nje ya Nchi?

    Mimi ni mfanyakazi serikalini ni mwalimu, nina Degree ya BBA nifanyaje kupata sponsorship kusoma MBA Nje ya Nchi.
  8. M

    Dk. Slaa: CHADEMA kwa sasa imeungana na NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF)

    Rais kashatoa maagizo nn anataka katiba iwe , je wabunge wa ccm wanaweza kupitisha tofauti na Rais? Jk ameharibu mchakato kwan katiba aliyokuwa akinadi mkuu wa nchi ni ile ambayo watanzania tumeichoka, jamii isiyokubali mabadiliko huduma katika nyanja zote
  9. M

    Dk. Slaa: CHADEMA kwa sasa imeungana na NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF)

    MSIWAAMINI WANASIASA WAWE WA CHAMA TAWALA AU WA UPINZANI-ZITTO KABWE. Serikali zote duniani zinaongozwa na wanasiasa inakuwaje sisi tusiwaamini yamaanisha tusiwe na viongozi , kweli siasa ni game gumu
  10. M

    Matangazo ya TV kutoka analogue kwenda digital

    watanzania wengi watalazimika kuwa na deki kutazama filam watakosa matangazo ya moja kwa moja kwa sabab yamalipo yakila mwezi,viongozi hawawajui watu wao kipato.pengine tunategemea fikra za ng'ambo,
  11. M

    Bibi kikongwe miaka 97 achambua elimu nchini

    Bibi mkazi wa Tunduma ambaye hajawahi soma hata darasa la kwanza,akiwa na wajukuu alisema waafrika wataendelea kupungua miaka ijayo kwa kukosa maada za sayansi ya ugunduzi kwenye mifumo ya elimu wanaofundisha.Elimu haiwezi kutoa majawabu kwa mabadiliko ya mazingira.Watanzania kwa elim...
  12. M

    Jumuiya ya Uhamsho na mihadhara Zanzibar Imefutwa

    Tuipende Tanzania yetu na sio dini zetu.Tanzania ni zaidi ya dini zote na inaweza kuwepo hata bila ya imani zetu.
  13. M

    Jumuiya ya Uhamsho na mihadhara Zanzibar Imefutwa

    Kuna sababu ya kureview, Baba wa taifa J.K.Nyerere alifanyaje na vikundi viharibifu jamii
  14. M

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Kukosa uzalendo nitatizo mpaka waziri haifaham nchi yake.Yatupasa kuboresha elimu yakujenga uzalendo kwa taifa letu.
Back
Top Bottom