Ukipenda unaweza kuchukua ushauri huu, huu si wakati muafaka wa kufanya uchaguzi kabla katiba haijakaa sawa, moja ya jambo muhimu miiko ya kulinda tunu na uchumi wa Taifa bado inahitaji maboresho vinginevyo kila mmoja atakayeingia ataanzisha yake na kulipa muzigo Taifa kama unavyohangaika hivi...
Ahsante Clouds aksante Kusaga and your team, kuna watu wamefanya mambo makubwa, pengine record zao si rahisi kuzivuja, mfano Mama Mongera na spika mstaafu Makinda na wengine wengi wameshapewa tuzo nyingi na pengine idadi yake hawaimbuki;
Lengo la tuzo ni kukumbuka mchango wake lakini la muhimu...
madaladala mengi ya wakubwa ndiyo sorce ya hujuma ili wapige pesa, fanyeni hivi wauzieni yote ikibidi kila mmoja aweke nembo yake musiajiri madereva wala makondactor ninyi tozeni kodi kwa kila basi kwamwezi, siyo rahisi kwa mtazamo wa biashara ya kidunia serikali kufanya biashara mabasi ambayo...
Tumeshuhudia ubora wa utawala wa mwanamke Samia, nashawishika kuanza sala na maombi, kwa kuwa uongozi unatoka kwa Mungu ikimpendeza akitoka samia aingie Tulia Akson
Ni mapema mno lakini wazo hili limweke kwenye hadhara watu wachambua strength na weekness zake mapema ili nuru ikiangaza juu yake...
Kwanza tusisahau kwamba hata hizo km 12000 mnazompa kikwete alisimamia yeyeJPM alifanya maamuzi magumu sana ambayo maRais wote waliopita hawakuthubutu, kuhamishia makao makuu kuwa Dodoma, ni uthubutu wa aina yake hiyo ni no revise, daraja la kigongo busisi i, natamani daraja likamilike tupite...
Mh. Innocent Bashungwa wewe ni Mtu makini sana na ndiyo maana kila wizara unayopelekwa unafanya vizuri sana. hongera sana, lakini kuna watu wanakuharibia kazi, tarehe 11 February 2024 mtumishi wako wa office ya Tanroad Njombe kwa mbwembwe tu na akiwa mlevi kazini alimshambulia mkandalasi kwa...
Tunamshukuru Mungu kwa kukutunuku nafasi hiyo, kama ulivyosema mwenyewe " uliluzukiwa" na kweli it was not easy for you kukalia kiti hicho kwa sababu imani ya walio wengi kwa kuangalia wanawake wengine waliowahi kuongoza Nchi mf Madamu Banda wakaharibu isingelikuwa rahisi kukuamini, ingebidi...
walikuwa hawajafikisha idadi maana wao ukiua Myahudi mmoja wao wataua 50, kama ni 30,000 bado hawajatimiza lengo kufikisha 35,000 maana waparestina waliua wayahudi 700
Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka,
Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka,
Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka,
HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA.
Mengi alikujalia , wete tumeshuhudia
vema umesimamia, kwa upendo kadilia,
sifa Tunampatia, Muumba wa hidunia,
HONGERA MAMA...
upinzani siyo uhasimu na CCM haiogopi wapinzani, sera za CCM ni pamoja na kujikosoa na kuchagiza maendeleo. wapinza wanakaribishwa sana katika hoja zenye kulinda tunu za Taifa letu si kupinga tu ilimradi kupinga, Mama ameachana na siasa za maji Taka amewapa nafasi Muandamane lakini mwisho wa...
hivi CDF hajui kwamba wakimbizi wa 1972 Walipewa uraia na Mwalimu, kwa hiyo wakae wasizae wasisomeshe watoto wasishiriki katika fulsa za kiuchumi? mtu akisha pewa uraia si mkimbizi tena, si magharibi tu tuna wakikuyu Wengi kata ya kipande Sumbawanga walipewa uraia, wasomari kibao. CDF this is...
Mungu akujaalie utembelee majirani zetu wote wa EA, nina hakika utajifunza mengi na utajipiga kifua kwamba sisi tuko vizuri, maandamano ya Waganda (kwa mfano) kuamua kupanda migomba barabarani, kuishinikiza serikali itengeneze barabara ambayo ni mahandaki ya mashimo imeiona wapi Tz. !!! wewe ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.