Kweli zaidi ya hapo hakuna kwani serikali yetu ipo nao kwa sasa. Wanawaficha hawa mafisadi. Kwa mfano, huyu saidi mahonda akihisi tuu kuwa umemuibia katika maduka yake anakufungia ndani ya store na kuanzan kukupa mkong'oto yeye na ndugu zake. Wameshamfanyia kijana mmoja alikuwa akifanya kazi...
ibambasi, sina document yoyote kwa sasa zaidi ya kutowa hilo jina na zaidi yapo ni biashara zake za maduka anaziita home shopping centre. Nina uhakika kama takukuru au wahusika wowote serikalini kama ambao nadhani bado wapo wenye nia ya kweli ya kuwasaidia wa Tanzania huo ni mwanzo mzuri kwao...
Huyu saidi mahonda hajawahi kusoma Mzumbe wala IFM, nimjuavyo mimi hana IQ ya kusoma huko.
Na kwa mujibu wa habari nilizozipata sasa hivi, hivi karibuni amemuajiri Miss Tanzania wa kidosi kama secretary wake na ninavyoambiwa ndio yeye alimnunulia huo umiss kwa thamani kubwa sana (hili sina...
Dar. Ni habari nzito kweli na nimezifupisha sana kwa kuwa uandishi si fani yangu. Ndio kuna ukweli mtupu na kama kuna sehemu unataka ufafanuzi na unamashaka nayo basi uliza niiweke wazi zaidi. Yes, kama kuuweka wazi ufisadi ni chuki binafsi, basi jibu ni ndio, nina chuki binafsi na mafisadi wote...
Ufisadi mwingine unajulikana wazi lakini kwa kuwa umewatajirisha wanene, wengi wao, mpaka wakubwa wa polisi wanapokea mishahara kutoka kwa haka katajiri fisadi. Haka katajiri kanafumbiwa macho na Takukuru na Usalama wa Taifa na hata hiyo polisi yenyewe. Kwa nini? Kwa sababu tuu eti haka kajitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.