kama kawaida yako mzee wa kubwabwaja! hata wazungu pia nao wananyongwa bila hatia sema watu shallow kama wewe hamjui basi mnakimbilia kubwabwaja tu ooh watu weusi tunaonewa, sheria iliwekwa na imefuatwa suala la yeye kutokuua au la ni suala lingine, cha kujifunza hapo ni ubaya wa sheria...
Kwa mwendo huu sidhani kama Tanzania tutafika tunakokwenda sababu uzushi kama huu ni balaa... na nakuonya usipende kukurupuka mambo usiyoyajua vizuri. Hivi hao waliokutuma wamekupa sh ngapi??? Duh nimekoma na Watanzania! Na kama hii ndio ni great thinking basi balaaa.
Ama hakika hapo umeongea ukweli mtupu. Mfano vituo vya redio ndio balaa..watangazaji wanaropoka tu .. yaani kwa kweli inakera sana! Kizazi cha sasa sijui tukiiteje maana kiswahili sifuri na kiingereza sifuri!
Kwa muda mrefu tangu nakua nimekuwa niksikia watu wengi wanapozungumza kiswahili hupenda kuweka neno "ga" mwisho wa neno..mfano Alikwenda wao husema "Alikwendaga" sasa hapo nimekuwa nikijiuliza je ni kiswahili sahihi au la? na swali langu lingine ni hili.. hivi nikifika dukani na ninapotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.