Katika gazeti la Sema Usikike la leo tarehe 10/2/2009 kuna habari kwamba Waziri Mkuu wa zamani amemuweka kimada mbunge moja shoga kutoka Magharibi.
Kwa waheshimiwa wabunge habari hii siyo ngeni kwao.
Magazeti ya Kulikoni na Thisday yaliripoti jana kwamba shehena kubwa la nyara za serikali limekamatwa Iringa likitokea Mkoa wa Mbeya kupelekwa nje.Mhusika mkubwa ni kigogo wa CCM Mkoa wa Mbeya mwenye uhusiao wakaribu na viongozi wa juu. Kwa miaka mingi huyo kigogo amekua akijishugulisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.