JUKWAA LA WAHARIRI L Inatumika vibaya LOWASSA Na wafuasi wa CHADEMA wanasema wanawatu wao katika uongozi huo, Angalia tukio la Kupigwa Waandishi wa Habari na wanaosemekana wafuasi wa Prof. LIPUMBA Jukwaa liliwaalika wandishi wanawake wakawa wanalia sio kwa kupigwa ila kwa kutokamatwa Lipumba na...
Nimeona taarifa ya katibu wa CHADEMA wilaya ya kinondoni.Bwana KILEWO ni ya uongo tena ni aibu kiongozi kudanganya hadharani. Kwa kumkalibisha mkuu wa mpya wa wilaya ndugu MAKONDA kwa kumwambia kuwa kinondoni ni ngome ya chadema hili sio kweli,ukweli nikwamba.kuanzia tarehe 14 desemba...
WANA JF. NINAJAMBO LEO KAMA MTAZAMO NA UTABILI KUHUSU UKAWA. kwa uzoefu wangu kwa siasa za tanzania ni vigumu sana, kuanzisha ushirika ukadumu sababu watanzania wengi ni watu wa tamaa na sio wa misimamo hivyo ukawa hauna agenda pia hauwezi kufika mbali. naona ni ujanja ujanja tu.
Pamoja kupata baadhi ya majibu kuwa mnyika haja chuja,sasa nimegundua ktk jf kumejaa wana harakati sio wana siasa. mtu kuuliza swali anahitaji jibu sio matusi wala kejeri.hata wabunge huwa wana uliza maswali sasa kosa langu mimi ni nini?.
Wana jf.tokea juzi viongozi wa chadema ubungo na madiwani.walikuwa na pilika pilika za kuandaa mkutano na kumuomba mbunge wa kawe HALIMA MDEE.na jana mdee ali hutubia mkutano pale kimara mwisho.swali ni kwamba je? mbunge wa jimbo hilo mhe. JOHN MNYIKA amechuja kisiasa?
MIMI simkubali kwa sababu kuu tatu.1.yeye ni msaidizi wa katbu mkuu. lakini amekuwa hamsaidi chochote katbu mkuu hivyo kumfanya dk.slaa kuwa na kazi nyingi yeye zito akilabata tu.2.kwa mujibu wa katba ya chadema yeye ana husika na upatikanaji wa vifaa vya uenezi kama vile.bendera,kadi,katba ya...
BADO. kikwete ana sitahili kupongezwa sababu kuanzia Raisi MWINYI, MKAPA hoja ya kuwepo na katiba mpya ili zungumzwa lakini wameshindwa kuchukua hatua hivyo Raisi JAKAYA KIKWETE name subutu na ameweza na anasonga mbele.ana sitahiri kupongezwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.