shukurani pia ziende kwa wale wasio amini na kuona kila anae kuja jf kaferi 'awashauri wabadilike sasa kila kitu ni hazarani. sio siri kama miaka 50 iliyo pita. well done JF kwa mpango wenu.
habari za leo wanajamii? natumaini ni wazima wa afya........ kama kawaida cku yangu jana iliendelea vizuri sana jana nilikutana na mtu mmoja tu (1) kila swali langu lilijibiwa vizuri..! ninamatumain huyu huenda akawa ndie hasa mkulima niliekuwa namtafuta, pia nitoe shukurani kwa mlio ni pm na...
wamama msinielewe vibaya! mimi sitaki ambae ana watoto wawi! ukiwa na mmjo sio tatizo! nataka kuwa na watoto 3 sio 4 naomba mnielewe! huu ni msimamo wangu. nitafurahi sana kama mtakuwa waelewa! simbaguwi mtu! nawatakia cku njema!
habari zenu wana jf..? natumain tunaianza cku kwa matumain! jana ilikuwa siku ya promes nimeonana na wadada wawili daah sijuwi hawakunielewa? swali la kwanza lilikuwa hili namuuliza unamtoto? anasema ndio ila ninao wawili (2)..! jamani na sisitiza ukiwa na watoto wawili pole sana wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.