Search results

  1. Halisi

    Wanasiasa waloiba fedha za wawekezaji Arusha kutumbuliwa

    RC wa Arusha Mrisho Gambo ameagiza kufanyika ukaguzi ukaguzi kwa matumizi ya Fedha walizopewa wafugaji kwa kipindi cha miaka mitano maana malalamiko ya matumizi mabaya ya fedha yamekuwa mengi. “Ikumbukwe kwamba Baraza Hilo la wafugaji la Ngorongoro linapewa zaidi ya TSH 2.5 Billion kila mwaka...
  2. Halisi

    Kigwangala yuko Wizara gani?

    Naibu Waziri wa Afya, Daktari kijana na mwanaharakati wa muda mrefu katika kutetea haki za madaktari (ameshiriki mengi) ametoa kauli akitaka maelezo kuhusu kukosekana chanjo na amefikia hatua ya kuhoji hatua zilizochukuliwa dhidi ya waliokwamisha ndani ya wizara na hata Hazina. Bahati mbaya...
  3. Halisi

    Mufti wa Tanzania aunda tume kuchunguza mali za BAKWATA

    TUME YA MUFTI WA TANZANIA Kwa mamlaka niliyonayo kwa mujibu wa Katiba ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(Bakwata)kipengele 82 (3) b, naunda tume yenye wajumbe wafuatao: 1. SHEIKH ABUUBAKAR KHALID……………………. MWENYEKITI 2. SHEIKH ISSA OTHMAN ISSA………………………..MAKAMU MWENYEKITI 3. MWL. SALIM AHMED...
  4. Halisi

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Maghembe atangaza Serikali kusitisha usafirishaji wanyama hai

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ametangaza jioni hii kusitisha usafirishaji wanyama hai. Amesema wanasitisha hata usafirishaji wa chawa hadi hapo utaratibu mpya utakapotangazwa. More info to come...
  5. Halisi

    Majangili wajipanga kumyumbisha Magufuli

    Majangili wajipanga kuiyumbisha serikali .Wapenyeza kwa wanasiasa na watendaji .Watengeneza propaganda kujilinda .Wakumbushia walivyoizima 'tokomeza' .Wajihami 'utumbuaji majipu' usiwakute WAKATI serikali kupitia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikitangaza kupambana na majangili, imeelezwa kwamba...
  6. Halisi

    Mbunge apigwa stop kuchimba madini hifadhini

    SERIKALI mkoani Simiyu imesitisha mpango wa Mbunge wa Meatu, Salum Salum ‘Mbuzi’ kutaka kuchimba madini ndani ya pori la hifadhi ya wanyamapori linaloendeshwa kisheria na kampuni ya Mwiba Holdings Limited. Zuio hilo lilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka, ikiwa ni...
  7. Halisi

    Mbunge Salum Khamis Salum 'Mbuzi' (CCM) apewa mgodi hifadhini!

    MMOJA kati ya wabunge ndani ya Bunge la 11 yupo katika mtihani mzito akishutumiwa kushiriki katika kujipatia eneo la uchimbaji wa madini ndani ya eneo la hifadhi ya wanyamapori bila ridhaa ya wadau wakiwamo wanakijiji. Taarifa zilizolifikia Raia Tanzania zinadai kwamba, Mbunge wa Meatu, Salum...
  8. Halisi

    Polisi waache kutumika kunyanyasa wadaiwa

    Tatizo la wizi wa kuaminiwa ni kubwa na baya linawaumiza wengi, lakini tatizo la polisi wetu kutumiwa vibaya na wenye pesa kugeuza kesi ya madai kuwa jinai kwa kisingizio ni wizi wa kuaminiwa nalo ni kero zaidi hasa kwa wananchi wanyonge na masikini ambao wanasumbuliwa na polisi na kuwekwa...
  9. Halisi

    Mama Lowassa aongoza Usafi Hospitali ya Mafiga

    MKE wa aliyekuwa mgombea urais kutipia vyama vinavyounda umoja wa katiba UKAWA Regina Lowassa ameliongoza Baraza la Wanawake CHADEMA (Bawacha) mkoani Morogoro kufanya usafi katika Hospitali teule ya wazazi ya Mafiga.Mama Lowassa aliyeongonzana na Mwenyekiti wa baraza hilo taifa Halima Mdee...
  10. Halisi

    TAHADHARI: Mvua kubwa Dar na mikoa karibu na bahari

    MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tahadhari ya mvua kubwa katika baadhi ya maeneo nchini kuanzia usiku wa tarehe 08-03-2016 hadi 09-03-2016. Maeneo hayo ni pamoja na Dar es Salaam, visiwa vya Unguja na Pemba na mikoa yote iliyopo pwani ya Bahari ya Hindi ikiwamo Tanga...
  11. Halisi

    JIPU: Ufisadi wa 255m/-Bodi ya Tumbaku

    Ufisadi wa 255m/-Bodi ya Tumbaku. Ni kwamba, Tanzania Tobacco Board TTB, yenye makao makuu yake Morogoro, iko chini ya Wizara ya Kilimo. Kwa kawaida, TTB ina utaratibu wa kuweka Bank kama Ficed Deposit 200m/- ili faida inayopatikana kila mwaka iwe inatumika kulipia viinua mgongo vya...
  12. Halisi

    Majambazi yavamia kituo na kuua polisi wawili Ikwiriri Rufiji

    Taarifa zinasema saa chache zilizopita (saa 8 usiku) majambazi yamevamia kituo cha Polisi cha Ikwiriri, Rufiji mkoani Pwani na kuua polisi wawili na kupora bunduki. Hivi sasa hali ni tete na watu wamekusanyika huku polisi wakiongeza nguvu kusaka wauaji.
  13. Halisi

    Waendeshaji wa Blue Pearl Hotel, Ubungo Plaza kutimuliwa na hoteli kufungwa

    Kumekuwapo vikao vya wadau wa jengo la Ubungo Plaza, baada ya Wahindi wanaoendesha hoteli hiyo kutofautiana na menejimenti ya jengo la Ubungo Plaza. Tayari wadau wa Ubungo Plaza, Shirika la Bima (NIC), NSSF na PSPF wamekutana kujadili hatima ya wamiliki hao ambao wanadaiwa kuingia katika...
  14. Halisi

    JF Exclusive: Mkataba Bomu Mwingine: Ufisadi Mamlaka ya Bandari:: Mwakyembe upo?

    Baada ya uongozi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kusaini mkataba wenye harufu ya kifisadi kuingiza utaratibu mpya wa kuwatoza wateja gharama ziitwazo 'Cargo Tracking System', uongozi huo leo umekimbia kikao kilichoitishwa na SUMATRA kujadili malalamiko ya wadau na SUMATRA imeamua kuendesha...
  15. Halisi

    TANZIA: Mbunge wa zamani na Mwenyekiti wa SSRA Siraju Kaboyonga afariki Dunia

    Mbunge wa zamani wa Tabora Mjini, Siraju Kaboyonga amefariki Dunia usiku huu jijini Dar es Salaam. Kaboyonga ambaye ni Mwenyekiti WA SSRA anatarajiwa kuzikwa Dar Alhamis katika makaburi ya Kisutu. Inna Lilah WA Inna Ilaihu Rajiun
  16. Halisi

    Tujikumbushe FikraPevu ilisema kuhusu sekretarieti

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya mabadiliko makubwa katika uongozi wake wa juu, ikiwa ni pamoja na kubadilisha baadhi ya viongozi wake wa juu ikiwamo wajumbe wa Kamati Kuu (CC) yake,*Fikra Pevu*imejulishwa. Taarifa za ndani ya CCM zinaeleza kwamba, Mwenyekiti wa CCM, Taifa Rais...
  17. Halisi

    Rished Bade kumsaidia Kitillya TRA

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Rished Bade kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Taarifa iliyotolewa leo, Jumatano, Septemba 19, 2012 na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi...
  18. Halisi

    FikraPevu: Polisi aliyefyatua bomu lililoua mwandishi akamatwa, kushitakiwa kwa mauaji

    POLISI ambaye alifyatua bomu kwa karibu na kusababisha kifo cha Mwandishi wa habari wa Channel Ten, Daudi Mwangosi, anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote, Fikra Pevu limefahamishwa. Taarifa za kutoka Iringa zimeeleza kwamba kushitakiwa kwa askari huyo, kunafuatia kukamilika kwa...
  19. Halisi

    Ukombozi kwenye media zetu ni MUHIMU kwa TAIFA

    Nimeipenda hii nimeikuta Facebook, kwa kweli tunahitaji ukombozi kwenye media zetu, ili zitusaidie kukomboa nchi yetu inayokabiliwa na matatizo makubwa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. "Natumia siku hii ya Mei 3, kuomboleza: Media ni kama kikosi cha uokoaji. Inapotokea gari la zimamoto...
  20. Halisi

    FikraPevu: Waziri Chami ajibu mapigo sakata la TBS Bungeni

    Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Cyril Chami amejitetea kwamba yeye na wizara yake hawamlindi Mkurugenzi Mkuu wa TBS Bwana Charles Ekelege kama alivyotuhumiwa na baadhi ya wabunge mjini Dodoma katika kikao cha Bunge kinachoendelea sasa. Dkt Chami amesema kilichotokea ni Wizara yake...
Back
Top Bottom