we Acha ufala unakua kama hanith...au huna mke ndo Maana unaongea upuuzi humu.
askari akiwa kazini ndio apapase wake za Watu kwan imeshindikana nini kuwepo askari Kike!!?
mpuuzi we....kama huna cha kuchangia funga domo lako
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza chombo cha habari Tv na Radio Imaan kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuelimisha jamii,mfano mzuri ndani ya siku tatu hizi wamekuwa wakikemea vikali kuhusu upotoshaji kwa jamii juu ya hiki wanachoita sikukuu ya wajinga na madhara yanayotokana na upotoshaji huo...
haujui halaf unajifanya mjuaji....uliza kwanza!!!
walichopewa awali ni CP(construction permit) ambauo inakuwa go ahead ya kuandaa studio na kurusha matangazo ktk test siganl wakat unasubir kibali cha moja kwa moja ambacho sasa kimepatikana na neno test signal litaondoka kwenye display ya Tv Imaan.
Hatimaye mamlaka ya mawasiliano Tanzania jana imetoa kibali kwa Tv Imaan, television ya kwanza ya Kiislam inayorusha matangazo kwa lugha ya kiswahili.
Hongereni Tv Imaaan Tanzania ''Elimu Bila mipaka" sasa safar ndio inaanza tunamuomba Allah akilinde chombo chetu.
tutolee uozo wako hapa,chuki dhidi ya muislamu umezaliwa nayotoka tumboni kwa mamako, hakuna KAFIRI mwenye mapenzi na Muislam hata kidogo acha unafki wako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.