Hayawi hayawi yamekuwa..........yale yaliyokuwa yakisemwa na Kina Mar. Prof Seth Chachage sasa yanaanza kujionyesha.
Wageni wanaanza kuleta "ubaguzi wa kimatabaka" kwa watanzania.
Jana nilishangaa pale mlinzi wa Mlimani City alipomwambia dereva wa bajaj kwa "Uongozi wa Mlimani City hauruhusu...
NMB Bank mko makini kwenye uuzaji wa shares zenu? Mbona mnatufanya waanachi mambubumbu? Tangu lini shares zikauzwa bila "prospectus". Tukiwauliza watendaji wenu wanasema eti "safari hii mmetoa leafet/vipeperushi tu! Kwa mtu yoyote anayejua maana ya hisa haiwezekani ununue hisa kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.