Na Mwandishi Wetu, Kibaha
HATIMAYE, Mjumbe wa Baraza Kuu Mstaafu na kada maarufu wa Chadema katika jimbo la Kibaha Vijijini, Kinabo Edward Kinabo, amerudisha fomu leo katika Ofisi za Chadema Jimbo la Kibaha Vijijini mjini Mlandizi, akiomba ridhaa ya chama chake ya kuwania ubunge wa Jimbo hilo...
Kwa wale wapambe na wafuasi waaminifu wa Zitto Kabwe wanajitahidi sana kujinasibu kuwa Zitto Kabwe ni mwanasiasa tishio kwa Tanzania ya sasa.
Hawaishii hapo tu, wanajaribu kuitumia mitandao ya kijamii kuwaaminsha Watanzania kuwa Zitto na genge lake watawasambalatisha UKAWA kwa kuwa mikutano yao...
Wapambe Wa Waziri Mkuu Aliyejiuzuru Kutokana Kuhusika Na Ufisadi Wa Kampuni Ya Richmond Edward Lowasa Siku Ya Jumamosi Tarehe 28/02/2015 Saa 7:00 Mchana Watakuwa Na Kikao Na Baadhi Ya Makada Na Vijana Hapa Mlandizi, Kwa Mujibu Wa Ujumbe Mfupi Wa Maandishi Uliotumwa Kwa Walengwa Kikao Hicho...
Jeshi la Polisi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya limewajeruhi raia kadhaa kwa kipigo na kuharibu mali zikiwemo nyumba za raia Wilayani hapa, Pamoja na kujeruhi na kuharibu mali za raia hao wa Mamlaka ya mji mdogo wa Busokelo katika Kata ya Luangwa na Kata ya Ikama pia Polisi hao walipora fedha, nguo...
Mkutano huo ulikuwa wa ngazi ya wilaya na ulipangwa kuhutubiwa na mwenyekiti wa wilaya ndugu Hamisi Kanesa, na hilo jina la stend ya mzenga ndiyo kiwanja maarufu kiliopo hapa Mlandizi mjin na madiwani wote wa halmashauri hiyo walihudhuria
Katika hali ya kushangaza jana katika mkutano wa CCM wa kutoa taarfa wa utekelezaji wa ilani ya CCM kwa wananchi ulioandaliwa na uongozi wa CCM wilaya ya Kibaha Vijijini uliofanyika viwanja vya stend ya Mzenga ambao wananchi waliususia na kuwalazimu Mwenyekiti wa CCM wilaya hiyo na katibu wake...
Nakubali kazi ya ccm ni kutenda tumeona walivyomtenda Kolimba,walivyomtenda Kigoma Malima, walivyomtenda Nyerere, walivyoitenda Epa, waliyotenda katika mkutano wa kufunga kampeni za chadema Arusha, walivyomtenda Mwangosi, walivyomtenda Kibanda, walivyowatenda wananchi wasio na hatia katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.