Kama kichwa cha habari kinavyojieleza december inakaribia wa mikoani tunaenda kupumzika kidogo vijijini. Kwa wale wakwetu kaskazini tujuzane viwanja vya kukutana. Bata linaanzia njia panda
habari wana jf kuanzia alhamisi ni holiday yaani 8/8 kama sio sikukuu ya Idd, ijumaa nayo uwezekano mkubwa wa kuwa sikukuu pia kwa wale wenzetu waislam. sasa likizo hiyo ya siku nne nitakuwa mpweke maana nilisaka mwenza hapa jf nikakosa je ni sehemu ipi tulivu naweza nikakaa peke yangu na...
UNAWEZA KUJITOA KIASI HIKI KWA MWINGINE?
Picha hii ilipigwa Rio de Janeiro Brazil.Mpiga picha alimpiga huyu baba wakati akivua viatu vyake na kumpa binti ambae ni mtoto wa mtaani.Binti huyo alikuwa akitembea peku.
Je tunaweza kujitoa kiasi hiki kwa wengine?!
nipo single natafuta wa kuanzia nae tarehe 14.2.2013 mpaka milele
awe mwanaume mkristo kuanzia miaka 38 na kuendelea kama yupo tayari anipm msg zote zitajibiwa
habari wana jf nilikuwa ninaomba ushauri au mwenye kujua tatizo la kutoka damu puani huwa linasababishwa na nini? nina dada yangu ana tatizo la kutoka damu puani ila hilo tatizo halijaanza muda mrefu sana ni kama siku ya kumi sasa..naombeni ushari wenu je? ni kukosa vitamini fulani mwilini au ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.