Nadhani tusiwe watu wa kukosoa tu kila jambo. Nadhani kwa mtazamo wako ulitaka JPM afanye kile unachowaza wewe lakini kuna different approach za kutatua matatizo kwanza unaanzia chini endapo wa chini atasema alitumwa na wajuu then unaweza kumuwajibisha na huyo aliyemtuma endapo kutakuwa na...
Nimesoma comment za watu wengi wengi wanaonyesha kuwa na hasira na jk lakini nasikitika kusema baadhi yenu ndio mliomchagua Kwa kishindo 2005 Kwa imani ya maisha bora Kwa kila mtz. Vivyo hivyo kesho mtaenda kumchagua el Kwa imani ya mabadiliko na promise ya el ya kufuta umaskini kumbukeni el na...
Kuna nyakati tumeichukia ccm hats tukaifananisha ccm na ukoo wa panya swali nalojiuliza hivi panya akibadili makazi hujeuka na kuwa paka ambaye sasa atakamata panya?
maswali ya msingi ambayo jk alitakiwa kujibu leo
1, ni kwanini ktk kipindi cha miaka7 ambayo account ya escrow ilifunguliwa tanesco haikufanya jitihada zozote kumaliza swala lake na IPTL?
2 kwanini vip ilipouza hisa zake rugemalila aligawa pesa kwa watu je nini kilikuwa kati yao
3, ni...
Mkuu nakubaliana na wewe kwa uliyo yasema kwa ujumla lakini kwa kuongezea inawezekana pia tatizo lingine linalojitokeza kwa hivi sasa ni kukua kiuchumi kwa wanawake ikumbukwe kuwa katika siku za nyuma mwanamke alimtegemea mwanamme kwa asilimia mia baba ndiye aliwajibika karibu kwa kila kitu...
Kidini huwa hairuhusiwi kufanya ngono kabla ya ndoa ni mpaka pale mtakapokuwa mmeowana ndio mnapewa izini ya kushiriki unyumba na ndio maana hata yusufu alinuia kumwacha mariam wakati alipokuwa amemposa na kabla ya ndoa yao akaja kugundua kuwa ni mja mzito. Hata hivyo malaika wa bwana...
Hii ndiyo demokrasia ya africa watu siku zote wanatafuta madaraka na si kuwatumikia wananchi wako tiari kwa lolote hata kumwaga damu za wengine ili wapate madaraka. Naamini kitala na zito hawatakuwa na jipya kama wengine waliopita. Je ni lini waafrika tutabadilika kimawazo na kuanza kufikiria...
Unajua kusema kweli hawa jamaa ni wabaguzi lakini ubaguzi wao kwetu umetokana pia na historia yetu mbaya na kweli tusipokuwa makini watatumaliza je si kweli wanatupa silaha tuuwane? je si wametuletea gonjwa la ukimwi na kwa kuwa sisi tunapenda sana ngono linatumaliza? Kondomu tunazotumia na pedi...
Yawezekana haya yakawa maoni binafsi na yasiwe ndiyo mtazamo wa watanzania walio wengi. Kwa ujumla unapofanya utafiti hasa wa kukusanya maoni huwa inategemea umetembelea maeneo gani na katika maeneo uliyotembelea je wahusika uliokutana nao ni kina nani na wanamwelekeo upi sasa baada ya...
NI kweli Linaweza kuwa swala la IQ lakini si kwa watanzania tu bali ni waafrica wote kwa ujumla. Tafiti zilizowahi kufanywa na wanasayansi kuhusiana na ni race ipi yenye IQ kubwa na ipi yenye IQ ndogo zilionyesha kwamba wazungu ndio wanaongoza kwa kuwa na IQ kubwa wakifuatiwa na waeshia then...
Nimesikitishwa sana na haya yaliyotokea arusha naanza kupata mashaka kama ukombozi wa kweli tuliokuwa tunautafuta kupitia CDM utapatikana. Ninasema hivyo kwa kuwa kilichotokea arusha ni ishara mbaya kwa chama ambacho kimekuwa kipenzi cha watu wengi na sasa inaonekana dhahiri kuna vita ya...
Nimeipenda hiyo nukuu mkuu "HERI NGAMIA KUPENYA KATIKA TUNDU LA SINDANO KULIKO USHAURI WAKO KUTEKELEZWA NA JK". Kweli haya mambo ya uchama au kusema ni mwenzetu hatuwezi kumchukulia hatua kwa kuwa tutachafua sifa ya chama chetu yametucost sana. Ndio kama hivyo sasa tembo wanaangamia lakini...
Siku zote dunia au serekali hasa hizi nchi za kibepari huongozwa na watu wachache wenye maslahi yao. Ni katika ujamaa uliotukuka au uliokamili tu taifa litaweza kuongozwa kwa maslahi ya umma lakini katika ubepari hilo ni gumu. Chukulia mfano wa taifa kama marekani wakati Obama anapigina ili...
Maandiko yanasema amdharauye mwenzake huyu ni mjinga kabisa hana akili wewe ukisema mwenzako kaposti utumbo je hoja yako ya msingi ni ipi hasa ili tuilinganishe na ya mwezio then tuseme wewe uko sahihi na yeye hayuko sahii jifunze kuheshimu wengine kumbuka kuwatendea wengine yale unayotaka...
Interesting but two things has to be done
1. We need first to change our mind set we have been told by our leaders that we are poor and we belive so. So we need to chnage our mind by beliving that we are not poor we are capable of changing our lives
2. One of the major problem in africa is...
Msimlaumu sana muhongo nadhani muhongo ni mtumwa wa kifikra japo ni msomi. Nadhani kwa kuwa labda amesoma katika nchi zilizoendelea akaona maendeleo ya nchi hizo pasipo kuelewa kuwa maendeleo hayo yaliletwa na wazawa wa nchi hizo yeye anafikiri kuwa mzungu ni kila kitu na yamkini yeye kama yeye...
Pole sana bwana mengi na watanzania wote kwa ujumla hakika wakati Muhongo anachaguliwa niliposoma profile yake ilinikuna sana nikazani tumepata kiongozi hasa alipokabidhiwa widhara ya Nishati na madini na akaingia kwa mkwara wa kuchapa kazi kufa na kupona nikasema tunaye mtu kumbe ilikuwa kiini...
Binafsi Nashangazwa na yanaoendelea bungeni siamini kile nancho kiona lakini nakiri dhahiri kuna udhaifu mkubwa katika kiti cha spika kwani mbona enzi ya samuel sita hatukuyaona haya bunge lilikuwa zuri lilijadili mambo kwa uwazi na uhuru kuliko hili la hivi sasa. Laiti kama inawezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.