Akisubiri mpaka atoswe ataambulia manyoya tu bora ungemshauri asepe Sasa hivi manake mda huo atakua time barred already.Dynamics hazitamruhusu kupata u MP.
Anayefikiria kua kuna watu hufikiria kwa kutumia makalio yeye ndiye akili zake ziko kwenye makalio na hufikiria kutumia makalio yake.Wewe ni mmoja wao kwa uliyoandika hapo juu.
Wananchi hawali mikutano ya hadhara.Hata hivyo mikutano ya hadhara imeruhusiwa kwa kila Mbunge kwenye Jimbo lake na wale wa Viti maalum kwenye mikoa yao.Kama hawafanyi hiyo mikutano ya hadhara basi ni kwa kutotaka kwao na si kweli kua wamekatazwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.