jamani mwenzenu nilishamsamehe huyo kaka maana most of the time anaongea pumba tu na kuifanya clous kuonekena redio inayotetea ccm,but nadhani anatakiwa kujirekebisha lasivyo watu tutakuwa tunahoji uwezo wake wa kufiriki.Wanasheria wanasema haingii kwenye kipimo cha "a reasonable person in the...
ni kweli jamani mie niko kinondoni manyanya hapa hadi helicopter zinapita,mabomu yameshatupwa watu wanakimbilia maji sasa,na tumeona malori kama manne yamezaja wanajeshi,kwa kweli hali si salama,tuzidi kuombajamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.