Juu ya ghorofa lililo kwenye kumi bora ya urefu Tanzania.Mji wote unauona,halafu wote tumelewa.Ile mechi sitakuja kuisahau.Walinzi walitubamba nikaongea nao kiume mechi ikaendelea.ile raha ya siku ile nawazaga inawezekana wanaotumia mihadarati ndio hujisikia hivyo.
Nasisitiza.Kaa kimya kwa chochote isipokuwa yeye kuja akupe.Unapoteza muda bro.Kwanza sijui ni mtu gani aliyeiva kikanisa hajakujibu mpaka sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani tujikite kwenye msingi wa kwamba kuna unafuu wa usafiri utapatikana.Tunatesekaga jamani.Ni kitu kizuri sana.Haya mambo ya kuangalia watu badala ya mafanikio hayanisaidia sana ninapokuwa na mke na watoto wangu Ubungo kondakta ananitajia elfu arobaini kwa kichwa,tena kwa dharau.Natoa...
Mwache akasomee kilichopo moyoni mwake kwakua sio kibaya.Hiyo ya petroli kuna watu wa first batch bado wapo mtaani.MD ajira/kujiajiri ina urahisi zaidi
Binafsi sijabahatika kuishi nikiwa na ufahamu kwenye utawala wa Mwalimu Nyerere.Lakini bwana..huyu mzee ninampenda kwelikweli..ninamuelewa vibaaaya.Lazima tufike sehemu tusiwe taifa la kuhamishahamisha magoli.Ikisemwa kitu kifanyike na kifanyike kweli taifa likiwa limetangulizwa...
Tough love.baba anakujenga.ni muhimu uchukue changamoto hii kiume,usimchukie.inawezekana haoni jitihada zozote upande wako za kufika pale anapokuona unaweza fika kimaendeleo.tafakari.
Kuna umuhimu wa kuhusisha wanasaikojia mambo yakikuzidi kimo.Nasikitikaga sana nikiona kwa mfano,kijana anapoteza miezi 36 ya maisha yake katika simanzi juu ya ajali za kimapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.