kupitia hii kesi watajifunza mambo mengi sana! ila hii kesi imewachafua sana. hata kesi ya madai watajitahid iwe ya jinai watakuambia andika wizi wa kuaminiwa! wazuri sana kwenye title za kesi.....
mbona hii ilishaanza siku nyingi ama, nilituma pesa kutoka kwenye simu kwenda bank 85,000 niliambiwa ada ni 5000 na Tozo 2500 jumla 7500. ilishaanza hii
kumbe unaweza kujifunza kutumia SMG kwenye mtandao na kulenga shabaa bila mazoezi. mlio wa SMG kama hujauzoea huwezi kusimama. inawezekana sawa gaidi ila sio wa kujifunzia kwenye mitandao
mbona hata Osama ailikuwa mpole sana! upole unasaidia nn. upole sio kipimo sahihi kwa mtu na watu. ukiwa mtu wa story kumbe ni dalali ya kuwa gaidi.........kuishi bongo raha sana
nilikutana na dem nilikuwa nafanya nae kazi nikamtongoza siku moja tu akakubali akasema atakuja night home nikajua yameishia pale jioni ananicheck kweli nikamuelekeza akaja kufika akaenda kuoga mm nipo sebuleni akaja amevaa nguo nyingine wanaita night dress. akanifungua zipo akaanza kunyonya ice...
wafunge na telegram maana huku zipo za kutosha kwa dada zetu na kaka zetu. sikuwahi kujua bongo kumeharibika hivi watu wana record ngono wanauza telegram na sura waziachia kama ulaya hivi.
ninacho kumbuka kipindi gwajima yupo bungeni akipinga hili alikuwa jirani na jirani yake anayemtishia sasa akitikisa kichwa kwa furaha sana na kuunga mkono ila kwa sasa naona tunatetea tumbo,,,,,,, hapa shida ni tumbo shida tumbo! wakati ule walikuwepo hawa wataalumu kwa nini hawakusimama...
tako kubwa kupapasa raha mkono unapanda mlima :p :p :p :p :p ukilala juu ya mlima kilimanjaro unajikuta unataka kuendelea tu ila ukikutana na mtu msafi wengine wachafu hadi wanaboa, miguu mizito ukitaka kuchange gia. raha ya vibonge wepesi hahahahahahaha! vimodo navyo uwii kwenye kubinjuka...
mapenzi ni hisia! kuna vitu vinaleta hisia vinatofautiana kutoka mtu mmoja na mwingine! watu wote hawawezi kuwa sana. kuna wadada wana vitu vyao kwa mwanaume vinavyompa hisia, huenda ni ucheshi wa wanaume, tabasamu, ukubwa wa mwili, misuli ya mwili, usafi wa mwili na mavazi, haiba ya mtu kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.