Heshima kwenu wana JF
kwa wale vijana wote wanaopenda kujiunga na jeshi la wananchi tanzania alimaharufu kama JW nafasi zinatoka mwezi wa kwanza mwishoni ama mwezi wa pili mwanzoni...hapa hakuna haja ya kupitia jkt ni moja kwa moja JW so vijana kaendi mkao wa kula
nawasilisha hoja
aiseeee babayangu nawasalimu wanajanvi heshima kwenu,
Mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kizega wilayani Iramba Bi. Mariamu Alphonce mwenye umri wa miaka kumi ameuwawa kikatili kwa kukatwa shingo na kucharangwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na kaka yake bwana...
aiseeeeee babayangu MWEKUNDU huyu mtoto wa obama tutagombana mi nakweshimu sana,,, mimi na wewe ni marafiki wa muda mrefu sana.kwa hili urafiki wetu utakufa hapa hapo nishaongea na mtoto na yeye kanizimia mtoto wa kichaga hapa tulipo...
aiseeee babayangu salamu nyingi ziwafikie wanaJF
jana nimemwona binti yake obama live bila chenga aiseeeee si mchezo mtoto katulia chuchu saa 6 mchana nimetokea kumpenda sana,ngozi nyororooooo,macho gololi hips za wastani,nywele singasinga azijaguswa na masai.yerewiiiiiiiiiiii
mwenye namba...
Sisi ni askari wajeshi la polisi nchini Tanzania, tunaomba Mh.Rais Jakaya Kikwete amuondoshe madarakani,mkuu wa jeshi letu Inspekta Jenarali IGP Saidi mwema katika uongozi wa jeshi la polisi.
kusema kweli tunashindwa kumwelewa Mh.Rais Kikwete kwa uamuzi wake wa kumwongezea mkataba Afande...
labda nijitambulishe kwa mara ya pili mkuu rombo
aiseeee babayangu sisi watu wa mkuu rombo tumekaa chini na kutafakari kwa kina sana kuhusu hiki kitu chenye ncha kali na kitu chenye kishindo kikubwa tunashindwa kukielewa hasa ni kitu cha aina gani hilo la kwanza
pili waziri mkuu ametowa...
Aiseeee babayangu ni jambo la kuchekesha kama si kusikitisha, kijana wa nyumba ya jirani yetu hapa mkuu rombo amepata nafasi ya kufika chuo kimoja wapo kikuu ( jina nlifadhi kwa heshima) hapa tanzania.
Alirudi kusherekea chrisimac na mwaka mpya hapa kijiji rombo katika harakati za kuongea nae...
aiseeeeeeee babayangu, wana JF heri ya chrismass
nimetoka kanisani narudi nyumbani kujumwika na ndugu jamaa na familia kwa ujumla
siku ya leo ni siku ya kepekee sana so leo sito kunjwa mbege hata kidogo
embu tiririka leo utakuwa wapi, utafanya nini,hauto fanya nini, utaenda wapi etc
wana...
salamu sana wakuu
siku ya leo huku mkuu rombo juwa limekuwa kali sana kuna vumbi la kufa mtu
embu 2pe update za hali ya hewa hapo ulipo
nawasilisha
update za leo
leo asubui hapa rombo baridi ilikuwa kali sana cha kushangaza ilipo fika saa 5 juwa limewaka na kuwa kali sana
hapo ulipo...
Aiseeeeeee babaangu nimefanikiwa kuudhulia special lecture ya rais Thambo Mbeki, nimepenya mpaka siti za mbele Nkuruma Hall kufatilia kongamano kwa makini nitawapa update zote wakuu nikitoka nawahi basi nirudi kwetu Mkuu Rombo.
habari wana jf
habari nilizozipata hivi punde kunauwezekano marefa wakagomea mechi zote za chelsea ligi kuu ya england sasa hapasijui itakuwaje
redio ya mkulima kutoka mkuu rombo
source bbc salim kikeke na chals hilari
wakuu nimefatilia tarifa za habari za stesheni mbalimbali kuna habari moja imeonesha jinsi kamanda kova na jeshi la polisi lilivyo2mia akili za kiitelejensia na kufanikiwa kuwakamata wakenya 3 wakisafirisha pembe za tembo kwenye jeneza lililofunikwa kwa bendera ya taifa kuelekea tarekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.