Hapa kwangu mabweni manne makubwa na ya kisasa yote ya wasichana! Bweni moja tu la wavulana na wavulana wamewekwa 20 tu kati ya vyumba mia moja ambavyo vyote ni tupu!
Mabweni ya wasichana yamejaa wasichana zaidi ya mia na hamsini, ukiuliza why wavulana wanaendelea kutokea day (nyumbani)...
Jiografia niliyoisoma na mifano mizuri yote niliyooneshwa kuthibitisha kuwa jua liko stationary na dunia ina move ilikataa kunasa kwa brain yangu hadi nazeeka. Nimeendelea kuamini ninachokiona ni sahihi kuliko nilichokaririshwa: Dunia Iko stationary na jua na all luminaries bodies in sky zina...
Huyu jamaa ni sehemu ya laana tupu maana ni juzijuzi alipiga kelele sana na huo uzi wa baraka za Baba but leo anajinusa vidole mwenyewe kwa kujipinga tena Kwa miandishi mingiiii!!! Nadhani anakaririshwa sehemu huko kwa secret societies si bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mshana hebu nifafanulie kiasi mzee mimi ni mteja sana wa Dar lux na nilipenda kutokana na customer service bora sana! Sasa mwezi huu nimeenda ofisi yao ubungo kukata tiketi na kulala hapohapo ili kesho yake nianzie hapo safari ya Mwanza, customer Care haijachange kivile ila sasa:
Hawana bus...
Mimi ni wa mwisho kabisa kuamini kuwa kuna kitu kinaitwa Mars! Ninachojua Dunia ni tambarare, anga (space) yote ni the roof of the world jua, nyota na mwezi vyote ni kwa ajili ya ku illuminate Dunia! Period
Andiko refu balaaa!! Anyway ni kawaida yako kwahiyo huu ni kama msahafu mpya niachane na kweli ya Biblia? ( Mi ni mkristo) Maana Biblia inasisitiza Jina la Yesu lina nguvu nikiliamini, haijasema jina la Mandela, Nyerere, Mayala, au Mkapa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.