Habari zilizonifikia kwa simu ni kwamba bus la kampuni tajwa limepata ajali mbaya baada ya kupasuka tairi ya mbele na limeua.
Hz ajali kwa kweli zinatisha.
=== Picha====
Ndivyo nilivyomkuta huyo Ndugu leo asubuhi na mapema mtaa wa Sakina huku Arusha mjini post na Sakina Bar kwa juu kidogo tu akidaiwa kuangushwa angani na Wanamaombi wanaokesha kumlilia Mwenyenzi MUNGU usiku katika Kanisa moja mtaa huo.
Siyo mwingine ni Malaria Sugu nimemwona humu na kitambo sana sijamwonaga kabisa!
Huko ulipokuwepo umewaachaje?
Malaria Sugu hebu pitia hapa utujuze ulipokuwepo!
Copy; chama zomba Rejao Ritz
pamoja na lile group lako!
Kwi kwi kwi kwi kwi kwiiii Malaria Sugu bana!
Habari ya jioni wadau wenzangu! Nimekuwa sionekani jukwaani kutokana mihangaiko ya hapa na pale! Hakika bandiko hilo hapo juu ni habari niliyopata toka kwa raia wa karibu kabisa na raia wa karibu kabisa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa ya kwamba Mh huyu atafanya (atatoa) maamuzi...
Waganga wa kienyeji kweli ni wezi,Hanisi mmoja alikwenda kuomba dawa ili Mboo isimame,mganga akamwandikia WIMBO WA TAIFA akampatia. Jamaa akaulizia! Sasa hii ndiyo dawa? Mganga akamjibu,Wewe K **M* nini? WIMBO WA TAIFA UNAMSIMAMISHA HADI RAIS WA NCHI ITAKUWA HICHO KIMBOO HACHO:
Kwa mtazamo wangu wa kuona na kusikiliza! Nimeona kabisa ya kwamba chama cha mapinduzi imemtema huyu member wao muhimu sana ndani ya chama cha chao cha mafisadi!
Namkaribisha huyu Ndg EL ndani ya vyama vya upinzani na atimize ahadi hii ya chama kubwa ya upinzani VUA GAMBA VAA GWANDA na bila...
Wajameni tangu zoezi la kuhesabu watu kumalizika Mi binafsi sijawahi kusikia idadi yetu tuko wangapi!
Mwenye kujua hebu atuanikie hapa jamani!
JF BOMBA!
Wanajukwaa legwa nawakubali Wandugu ktk harakati ya hapa na pale hp jukwaani!
Mi ni mgeni lakini ninafuraha kuwa nanyi pale mtakapo nikubali kwani nimekuwa naperuz kitambo na mpaka sasa nimeamua kukita ndani fluuuu!
Tu pamoja Wakuu wote!
Full Time!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.